Naomba kujua kama kuna watu waliitwa interview ajira za mahakamani

Twinawe

JF-Expert Member
Oct 3, 2016
2,363
5,108
Mwezi february tume ya mahakama ilitangaza ajira katika kada tofauti.

Naomba kufahahamishwa kama kuna watu washaitwa interview.
 
Watu walishaitwa kwenye usaili mkuu. Waliweka majina kwenye website yao ya utumishi wa mahakama wiki mbili zilizopita baada ya ku-shortlist

Kila kada wali-shortlist majina yasiyozidi 10.
 
Back
Top Bottom