Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,544
- 1,760
Nina matatizo ya meno sasa nimesha ng'oa 4 ila kuna moja liko sehemu nilisha ng'oa 2, kuna siku Dk alisema kwa sababu ni ya chini, ya juu yanaweza kushuka je kweli na kuna yeyote alisha wahi ng'oa sehemu moja ma 3 kwa mfuatano? Na kuna tatizo alipata baadae? Shukran.