RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,772
- 108,007
Sasa hapo una madirisha 12 halafu makubwa! Unaacha 4m kimasihara, ukijumlisha na grills unaacha kama 5 hivi!Noma sana mlango wa Aluminium ulikuwa 230k mwezi wa 8 ila sasa ni 320k.
Sasa hapo una madirisha 12 halafu makubwa! Unaacha 4m kimasihara, ukijumlisha na grills unaacha kama 5 hivi!Noma sana mlango wa Aluminium ulikuwa 230k mwezi wa 8 ila sasa ni 320k.
Sasa hapo una madirisha 12 halafu makubwa! Unaacha 4m kimasihara, ukijumlisha na grills unaacha kama 5 hivi!
Dirisha la 6*6 unauzaje Mshana Jr:Anayehitaji madirisha used double glass ya PVC anione nina na milango pia
Kaka, Naomba nitumie bei na picha zake DM tafadhaliAnayehitaji madirisha used double glass ya PVC anione nina na milango pia
Sidhani kama hilo lipo subiri takujibuDirisha la 6*6 unauzaje Mshana Jr:
OK ngoja nitulieKaka, Naomba nitumie bei na picha zake DM tafadhali
Me tooOK ngoja nitulie
Elfu 32?? Yuko cheap sana mkumbatie ikiwezekana akutengenezee hata madirisha 100 ununueHabari wakuu!
Jamani kuna fundi hapa anataka kuniwekea madirisha ya vioo kwenye nyumba yangu lakn bei zake kwa dirisha moja la 5/6 anafanya tsh 32000 je ni bei za kawaida au ntapigwa. Naombeni msaada kujua uhalisia maana napata mashaka na hiyo bei.
Karekebishe uzi wako. Edit hiyo beiha haaah... typing error? bei ni 320000 laki tatu na ishirin kwa dirsha moja
5/6 ofisini kwangu imefika 360,000 bei za vifaa ni ghali mno320000. laki tatu na ishirini kwa dirisha moja la 5/6?
Sahv gharama ya material imepanda mzee32,000 chukua Mzee usiache.
Kama utanunua material kisha fundi akakuchaji gharama za ufundi tu, bei haitazidi 200,000 kwa dirisha kama hilo.mmmmh hatar sna... basi nadhani huyu fundi wngu pia atakua yuko sahihi
Huku kwetu imefika 28000Hali ni mbaya! Nondo sasa hivi 12mm ni 25,000-26,000
Naona bora kufanya hivi aiseeKama utanunua material kisha fundi akakuchaji gharama za ufundi tu, bei haitazidi 200,000 kwa dirisha kama hilo.
Mi huwa nashangaa,kuna watu wanaishi mikoa ya joto kali sana Kama DSM,eti na wao wako busy kuweka hayo Madirisha ya aluminum mwisho wa siku ukikaribishwa humo ndani ni joto tupu hadi unaomba kutoka kukaa nje upate Upepo OG kutoka kwa Sir God!!Ni muhimu pia kujua mkoa/mji gani