Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
wakuu habarini...naomba msaada wa kujua garama ya kumlipa fundi ili anijengee nyumba kama hiyo pichani.
Vyumba viwili vidogo vidogo 3*3. Sebule yenye dining, choo kiwanja kipo, tofali 6500 za kuchoma zipo bati na vingine naendelea navyo mdogo mdogo..kwa sisi ambao hatuoa nadhani itanitosha hii.
Pia kama kuna maoni na ushauri nitafurahi wakubwa zangu.
Napenda kujua gharama ya fundi tu ni kama bei gani.
Vyumba viwili vidogo vidogo 3*3. Sebule yenye dining, choo kiwanja kipo, tofali 6500 za kuchoma zipo bati na vingine naendelea navyo mdogo mdogo..kwa sisi ambao hatuoa nadhani itanitosha hii.
Pia kama kuna maoni na ushauri nitafurahi wakubwa zangu.
Napenda kujua gharama ya fundi tu ni kama bei gani.