luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,701
- 8,906
Mbeya pako powa
Nimefanya kazi halmashauri ya jiji kwa miaka 7 Nina mjengo wangu kule pia
Nimefanya kazi halmashauri ya jiji kwa miaka 7 Nina mjengo wangu kule pia
Unauliza majibu!Unataka kumuoa
kabisa mkuu na mgeni nikionana nae natangaza ndoa asahau na kurudiUnauliza majibu!


Ukifika mbeya Shuka stand ya nanenane kisha uliza hotel inaitwa MBEYA Golden City Hotel ipo SAE karibu sana na Stand uliyoshuka utapata Huduma nzuri ya Maradhi na Chakula bila kusahau usalama wa Mali zako
Mwanzo Mwisho Malazi yako Pouwa Sana Vitanda vya Kisasa,Washroom safi ya Kisasa Wi-Fi ipo ndani ya hotel Free of Charge unaweza download movies Kama mpenzi wa hiyo kitu wana Restaurant ya nguvu full makulaji ni ww tu nenda kama unaitaj sehemu ya Utulivu Huduma zao 24hrs...Kuna huduma 'nzuri ya Maradhi' huko??
Mkuu Umetisha![]()
...Kuna huduma 'nzuri ya Maradhi' huko??
Mkuu Umetisha![]()



Mambo ni MotoUmelipwa tsh ngap?Mbeya kuna hotel za maana chache sana!Mwanzo Mwisho Malazi yako Pouwa Sana Vitanda vya Kisasa,Washroom safi ya Kisasa Wi-Fi ipo ndani ya hotel Free of Charge unaweza download movies Kama mpenzi wa hiyo kitu wana Restaurant ya nguvu full makulaji ni ww tu nenda kama unaitaj sehemu ya Utulivu Huduma zao 24hrs
Ziko nyingi hata Mkulu iko pouwa sana Paradise siku hizi hamna kitu niushauri tu mkuu sio lazma ulipwe tatizo la wabongo hampendi maendeleo ya wenzenu jenga na ww hotel yko kama inaviwango tutawashauri watu wajeUmelipwa tsh ngap?Mbeya kuna hotel za maana chache sana!
Ukitaka sehem tulivu nenda
Hill view hotel,Usungilo hotel,tughimbe,BEACO RESORT,hakika hutojuta
Ziko nyingi hata Mkulu iko pouwa sana Paradise siku hizi hamna kitu niushauri tu mkuu sio lazma ulipwe tatizo la wabongo hampendi maendeleo ya wenzenu jenga na ww hotel yko kama inaviwango tutawashauri watu waje
Acha wivu
Sawa lakini hotel lazima iwe na show ya Nje ndiyo inavutia alafu kukaa hotel ambayo ipo karibu na barabara ni bora zaidi hotel ulizozitaja ww zinawafaa watu wa magendoHotel sio jengo Tu!!tunaangalia hata eneo la waz kuzunguka hiyo hotel!fuatilia mandhar ya hotel ulizozitaja na nilizozitaja afu uje na utofauti
Sawa lakini hotel lazima iwe na show ya Nje ndiyo inavutia alafu kukaa hotel ambayo ipo karibu na barabara ni bora zaidi hotel ulizozitaja ww zinawafaa watu wa magendo
Uyole mojaa oii oiiNikati ya mikoa ambayo ofisi wakisema wananihamishia huko wanakuta nimesha jilipia nauli wasije kubadili maamuzi.Sio kwetu lakini nakupenda sana mby, soko matola nime3kulia hapo nikahamia uyole shirikani wakati linaitwa SKU ilikuwa raha sana
Simchezo kaka ni mahali safi sana kwa ustawi wa binadamu,Uyole mojaa oii oii
Bei Gani Room nategemea kuja huko tarehe 12Mwanzo Mwisho Malazi yako Pouwa Sana Vitanda vya Kisasa,Washroom safi ya Kisasa Wi-Fi ipo ndani ya hotel Free of Charge unaweza download movies Kama mpenzi wa hiyo kitu wana Restaurant ya nguvu full makulaji ni ww tu nenda kama unaitaj sehemu ya Utulivu Huduma zao 24hrs
40-60kBei Gani Room nategemea kuja huko tarehe 12
Shukrani boss40-60k