Naomba kujua juu ya Mbeya

Naomba kujua juu ya Mbeya

Mbeya pako powa
Nimefanya kazi halmashauri ya jiji kwa miaka 7 Nina mjengo wangu kule pia
 
Ukifika mbeya Shuka stand ya nanenane kisha uliza hotel inaitwa MBEYA Golden City Hotel ipo SAE karibu sana na Stand uliyoshuka utapata Huduma nzuri ya Maradhi na Chakula bila kusahau usalama wa Mali zako
 
...Kuna huduma 'nzuri ya Maradhi' huko??
Mkuu Umetisha
Ukifika mbeya Shuka stand ya nanenane kisha uliza hotel inaitwa MBEYA Golden City Hotel ipo SAE karibu sana na Stand uliyoshuka utapata Huduma nzuri ya Maradhi na Chakula bila kusahau usalama wa Mali zako
 
  • Thanks
Reactions: a45
Na biashara za usiku zinapatikana wapi
 
...Kuna huduma 'nzuri ya Maradhi' huko??
Mkuu Umetisha
Mwanzo Mwisho Malazi yako Pouwa Sana Vitanda vya Kisasa,Washroom safi ya Kisasa Wi-Fi ipo ndani ya hotel Free of Charge unaweza download movies Kama mpenzi wa hiyo kitu wana Restaurant ya nguvu full makulaji ni ww tu nenda kama unaitaj sehemu ya Utulivu Huduma zao 24hrs
 
Mbea ni kijiji kiimoja kikuubwaa! Utaenjoy kuwa katika kijiji hicho lakini. The weather is good and people are good and kind as well...
 
Mwanzo Mwisho Malazi yako Pouwa Sana Vitanda vya Kisasa,Washroom safi ya Kisasa Wi-Fi ipo ndani ya hotel Free of Charge unaweza download movies Kama mpenzi wa hiyo kitu wana Restaurant ya nguvu full makulaji ni ww tu nenda kama unaitaj sehemu ya Utulivu Huduma zao 24hrs
Umelipwa tsh ngap?Mbeya kuna hotel za maana chache sana!
Ukitaka sehem tulivu nenda
Hill view hotel,Usungilo hotel,tughimbe,BEACO RESORT,hakika hutojuta
 
Umelipwa tsh ngap?Mbeya kuna hotel za maana chache sana!
Ukitaka sehem tulivu nenda
Hill view hotel,Usungilo hotel,tughimbe,BEACO RESORT,hakika hutojuta
Ziko nyingi hata Mkulu iko pouwa sana Paradise siku hizi hamna kitu niushauri tu mkuu sio lazma ulipwe tatizo la wabongo hampendi maendeleo ya wenzenu jenga na ww hotel yko kama inaviwango tutawashauri watu waje


Acha wivu
 
Ziko nyingi hata Mkulu iko pouwa sana Paradise siku hizi hamna kitu niushauri tu mkuu sio lazma ulipwe tatizo la wabongo hampendi maendeleo ya wenzenu jenga na ww hotel yko kama inaviwango tutawashauri watu waje


Acha wivu

Hotel sio jengo Tu!!tunaangalia hata eneo la waz kuzunguka hiyo hotel!fuatilia mandhar ya hotel ulizozitaja na nilizozitaja afu uje na utofauti
 
Hotel sio jengo Tu!!tunaangalia hata eneo la waz kuzunguka hiyo hotel!fuatilia mandhar ya hotel ulizozitaja na nilizozitaja afu uje na utofauti
Sawa lakini hotel lazima iwe na show ya Nje ndiyo inavutia alafu kukaa hotel ambayo ipo karibu na barabara ni bora zaidi hotel ulizozitaja ww zinawafaa watu wa magendo
 
Sawa lakini hotel lazima iwe na show ya Nje ndiyo inavutia alafu kukaa hotel ambayo ipo karibu na barabara ni bora zaidi hotel ulizozitaja ww zinawafaa watu wa magendo

Mkuu zote nilizotaja hapo zinafikika!!
Unaifahamu Usungilo ipo mita ngap kutoka barabara kuu?VIP kuhusu BEACO RESORT?
 
Nikati ya mikoa ambayo ofisi wakisema wananihamishia huko wanakuta nimesha jilipia nauli wasije kubadili maamuzi.Sio kwetu lakini nakupenda sana mby, soko matola nime3kulia hapo nikahamia uyole shirikani wakati linaitwa SKU ilikuwa raha sana
Uyole mojaa oii oii
 
Wanyakyusa wanajielewa ...

Wasafwa wajinga wajinga Sana bado wapo kwenye comfort zone..

Maisha yapo chini ila hela haipatikani kirahisi


Baridi sana mwezi wa 6 na 7 na vumbi linalokera ...

Makanisa mengi na wachawi wengi..

Bado Ni vijiji tu kifupi Ni jiji jina.
 
Mwanzo Mwisho Malazi yako Pouwa Sana Vitanda vya Kisasa,Washroom safi ya Kisasa Wi-Fi ipo ndani ya hotel Free of Charge unaweza download movies Kama mpenzi wa hiyo kitu wana Restaurant ya nguvu full makulaji ni ww tu nenda kama unaitaj sehemu ya Utulivu Huduma zao 24hrs
Bei Gani Room nategemea kuja huko tarehe 12
 
Back
Top Bottom