Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,709
- 23,117
Nicheck pm hayo yote nitakuelekeza ukifika na tutakuwa wote kama hutojari.
Wakubwa shikamooni, wadogo mamboo
Kifupi, nimepata safari ya muda kikazi mkoani Mbeya. Sasa naomba kujua juu ya jiji hili katika mambo kama mitaa mizuri, sehemu za chakula, afya, makanisa etc
