Kuna ubaya gani kama wamekidhi vigezo na hawakupendelewa? Nadhani waafrika tuna mentality za ajabu sana,mbona hata CCM kuna viongozi familia zao pia ziko kwenye siasa? Mbona hamsemi Kenya( Jomo Kenyatta na mwanae Uhuru Kenyatta) Marekani (George Bush na mwanae),Malawi (Familia ya Msalika) Zanzibar (Familia ya Karume) nk nk watu kama wana qualify hata wakiteuliwa 20 wa familia mmoja tatizo liko wapi?Common sense na viti maalum CHADEMA?
Wabunge wao WA viti maalum
Walikuwa hivi..
Dada yake Zitto
Dada yake Lissu
Aliezaa na mbowe
Aliezaa na Mbowe
Mtoto wa Ndesamburo
Mtoto wa Anthony Komu
The list is long..
Hawa ndo WA kutumia common sense kuwajadili??