Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
sasa tunatumia herufi ya kirumi(latin alphabet, kama vile a,b,ch,d) lakini kabla ya miaka 100, herufi ya kiarabu ا ب ت ilitumika kuandika kiswahili.
Wafundishe hawa waswahili wasiojua historia ya lugha yao,🤣