Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,757
- 218,375
- Thread starter
-
- #21
Ya Mbowe kama hujui basi labda ni wewe tu , Mbowe ndio kiboko aliyeipoteza ccm kwenye ramani , wamechanganyikiwa kiasi cha kuvamia hadi bustani za mchicha .Watu wasije wakadai ya Mbowe
Kuna haja ya utoaji mimba kuruhusiwa ili kuepuka watoto kama huyu .Unataka bwana wakuzaa nae au
....Na wewe weka hicho kifungu cha ku support your argument...Mkuu nioneshe ni kifungu gani cha sheria ya uchaguzi kinasema mawakala wataondoka na viapo vyao nyumbani.
Chadema mnatengeneza tension na hofu isio na maana,wakala akishapata barua ya uteuzi iliopigwa muhuri shughuli imeisha,hayo makaratasi ya kuapa sio muhimu tena,acheni kuwahadaa wafuasi wenu
Na wewe tuoneshe kifungu cha sheria ambacho kinasema ukishaapa usiondoke na kiapo
Asante sana mkuu , unajua tunapoleta maswali kama haya tunataka majibu ya namna hii , sasa huyu ndio msimamizi wa uchaguzi wa kinondoni .Uchaguzi mkuu 2015 Kura fake zaokotwa Bukoba Kahororo
Wilayani Bukoba, karatasi za kupigia kura ambazo ziliwekewa alama ya vema kwenye sehemu za wagombea wa udiwani, ubunge na urais, jana ziligundulika nyuma ya bweni la Shule ya Sekondari ya Kahororo. Karatasi hizo zilikuwa zimesambaa nyuma ya bweni la wanafunzi wa kidato cha sita, hali iliyowafanya wanafunzi wahisi kuwapo kwa karatasi zaidi ndani ya mabweni.
Mkurugenzi wa uchaguzi wa Jimbo la Bukoba Mjini, Aron Kagurumjuri aliwataka wananchi wapige kura na kudai alipokea vitabu kutoka NEC vikiwa vimefungwa kwenye maboksi, hivyo tatizo la karatasi hizo za kura si lake
Huko nako alikimbia na viapo vya mawakala ?Alipokuwa kabla alimtangaza Mbunge wa Chadema kama mshindi.. ondoeni shaka kwake
Tabu ni mnapaniki hadi mnaboa na kusukuma watu wawapigie wa CCM kura kama kawa.
Tension lazima iwepo kwa sababu ya tabia za kihuni zinazofanywa na hawa watu. Au we unajifanya hujui,sheria ni kufanya anachotaka mfalme kutoka chattle.Kwani mara ngapi mawakala wa upinzani wametimuliwa pmj na kuwa na barua kwa kisingizio cha hawakuapishwa?Ndicho kilichotokea kwenye uchaguzi wa madiwani.Mtulia hauzuki atashinda kwa sabab mfalme ameamua başı!!!!!!
Mzee wa totoz sana;Ninachojua ni mhitimu wa BED (Adult Education) UDSM class of 2006
Kwa hyo hizi ndo hoja sio?Umejadili nini hapa zaidi ya kusynthesize ujinga tu kwa sababu umeviimbiwaUJINGA NI PALE MNAPOACHA HOJA ZA.MSINGI NA KUANZA KUMJADILI MTU. KAGURUMJULI HE'S EDUCATED ENOUGH NA ANA EXPERIENCE YA NGUVU, USIFIKIRIE ALIIBULIWA TU. CHAPA KAZI JENGA NCHI YAKO SIO KUTAKA KUJADILI WATU ALAFU MWISHO QA SIKU MNALALAMIKA VYUMA VIMEKAZA SIJUI NINI KUMBE NI UJINGA WENU WENYEWE
Unajengaje nchi kwakua na viongozi wabovu na wanaotumia rasilimali za nchi kama mali za kifamiliaUJINGA NI PALE MNAPOACHA HOJA ZA.MSINGI NA KUANZA KUMJADILI MTU. KAGURUMJULI HE'S EDUCATED ENOUGH NA ANA EXPERIENCE YA NGUVU, USIFIKIRIE ALIIBULIWA TU. CHAPA KAZI JENGA NCHI YAKO SIO KUTAKA KUJADILI WATU ALAFU MWISHO QA SIKU MNALALAMIKA VYUMA VIMEKAZA SIJUI NINI KUMBE NI UJINGA WENU WENYEWE
Asante kwa maelezo ya kutoshaPia ni
Mzee wa totoz sana;
Kipindi kile yupo pale UDSM 2002/2003 to 2005/2006 BED - ADE amekamua sana vibinti vya mabibo akitumia mark II yake kama chambo cha kuwanasa warembo by then akitokea shinyanga as afisa elimu watu wazima kwenye wilaya moja wapo.
Baadae alienda Arusha kama afisa elimu pale mkoani....baada ya ku graduate pale UDSM kwa kuhonga pale wizara ya elimu.
Baadae akahonga tena ndio katolewa arusha kuja hapa mjini dar as afisa elimu then baada ya ya yule mkurugenzi wa kinondoni kusimamishwa ndio yeye as afisa elimu ka kaimishwa hapo kinondoni.
Kifupi ni kuwa namjua sana Kagurumjuli , alikuwa classmate wangu miaka hiyo hapo UDSM na wala sio TISS kama hao walivyodanganya ila tu ni mtu mjanja mjanja sana wa kujua kucheza step za mziki kadiri ya mazingira na ni fighter sana wa position za kiutawala kiujanja ujanja. Ana degree moja tu ya elimu akispecialize in adult education.
Pia by then ilishafahamika kuwa kaungua na alikuwa na speed ya hatari kula ili kusambaza ila yeye kinachomsaidia ni carrier hvyo sio rahisi kutambulika mapema ila kama demu akimpitia tu after 3 month akipima tayari lazima aanze dozi ya matumaini.
Kifupi huyo ndio kagurumjuli ; mate wa UDSM 2002 to 2006 watakubaliana na mimi hasa wale wa faculty ya education
Akikujibu nijulishe .Unajengaje nchi kwakua na viongozi wabovu na wanaotumia rasilimali za nchi kama mali za kifamilia
Kwa hiyo akiwa ni TIIIIISSSS ndo nini????Kagurumjuli ni TIIIIISSSSS. Achana nae.
Mwalimu anaweza kufanya chochote so long anajua anachokifanya kinamfurahisha bosi wake hasa pale anapokuwa na uhakika kwamba anachokifanya hakitam-demote na kurudi kwenye chaki. Waalimu ni janga la taifa!Ninachojua ni mhitimu wa BED (Adult Education) UDSM class of 2006
Aiseee !!!Mwalimu anaweza kufanya chochote so long anajua anachokifanya kinamfurahisha bosi wake hasa pale anapokuwa na uhakika kwamba anachokifanya hakitam-demote na kurudi kwenye chaki. Waalimu ni janga la taifa!