Naomba kufahamu umri wa Bwana Kangi Lugola

Nimeshangazwa sana na maneno ya Rais Magufuli wakati akimtumbua Lugola kuwa aliwahi kuwa mwanafunzi wake Sengerema Secondary wakati nikimtazama Rais Magufuli na Lugola ni kama Lugola ni mzee kuliko Magu

sasa kwa wanaojua umri wa bwana Lugola wanifahamishe tafadhari

Nimeangalia kwenye tovuti ya bunge kuwa Lugola alisoma sengerema secondary kuanzia mwaka 1981-1984 labda uchunguzi rasmi uanzie hapo kuangalia wakati huo mkemia Magu alikuwa anapiga mzigo wapi
teenager
 
Mhuuuuum. Kutokana na historia ya Magufuli hakuna sehemu alijitolea. Any way labda. Tena Sengerema secondary ni goverment. Labda.
Dada mbona ni rahisi tu kujua? Ninachojuwa Magu alishafundisha Sengerema Secondary miaka ya 80s. Cheki Biograph ya Magu utajua zaidi pia fuatilia historia ya Sengerema Secondary!
 
Magu siyo wa upe. Alimaliza Six mwaka 1981 .Mwaka huo huo akaanza chuo mkwawa. Najiuliza Dilpoma ya ualimu ilikuwa miaka mingapi ? Maana Kangi nae kaanza form one 1981 akamaliza 1984.
Pia kwa upande wa Magu kamaliza six Mkwawa high school na kusoma diploma hapo hapo.
Ina maana mkwawa ilikuwa secondary pia ilikuwa chuo cha diploma Ualimu ?
Pia Lugola nilikuwa naye Songea Boy's ambako alisoma HGE mwaka 1985 - 1988 tena alikuwa Head Prefect tena mnoko kwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha
Basi Lugola alichelewa sana kuanza shule. Au alifeli la saba akarudia sana tena sana. Tatizo hawa wanasiasa utasikia tu wamesoma wapi na wapi ila miaka ipi hawasemi. Bashite nae haijulikani secondary alimaliza mwaka gani.
Hapo kangi naona alisoma akiwa kijeba.
 
Magu siyo wa upe. Alimaliza Six mwaka 1981 .Mwaka huo huo akaanza chuo mkwawa. Najiuliza Dilpoma ya ualimu ilikuwa miaka mingapi ? Maana Kangi nae kaanza form one 1981 akamaliza 1984.
Pia kwa upande wa Magu kamaliza six Mkwawa high school na kusoma diploma hapo hapo.
Ina maana mkwawa ilikuwa secondary pia ilikuwa chuo cha diploma Ualimu ?
Mkwawa ilikuwa ni Sekondari lakini Serikali ikaweka programu maalum ya Diploma, ukichaguliwa Mkwawa Sekondari miaka hiyo na ukafanya mtihani wa kumaliza kidato cha 6 na ukafaulu ilikuwa ni lazima uunge hapohapo kusoma Diploma ya Ualimu ya miaka 2. Hivyo ndivyo Magufuli na wasomi wengine walivyopitia, na ndio maana alisoma Shadaha baadae hata kama ni kwa kutumia matokeo ya kidato cha sita (sio ya diploma).

Hata kama unapenda kusomea Urubani, ukisoma Mkwawa sekondari ilikuwa ni lazima kwanza usome diploma ya ualimu. Baadae hii programu ilifutwa, Mkwawa ikabaki kuwa sekondari ya advance tu. Wengi waliosoma hapo waliukacha ualimu baadae kwa kusoma shahada ziziso za elimu.
 
Back
Top Bottom