resonanceiduufu
Senior Member
- Jul 29, 2016
- 112
- 62
Naweza kuchukua hatua gani ikiwa mwenye duka amekataa kupokea bidhaa aliyoniuzia kwa "warranty"? Tafadhali naomba msaada.
Vigezo na masharti ya warranty ni vipi??Naweza kuchukua hatua gani ikiwa mwenye duka amekataa kupokea bidhaa aliyoniuzia kwa "warranty"? Tafadhali naomba msaada.
Hapo ndo umenjuza au unaleta utani arrif!?Subiri makonda au magufuli akihutubia ukajilize then upewe nafasi ya kuongea. Nakuhakikishia tv yako utalipwa mbili mpya hapo hapo. Kwani mkuu umenunua bidhaa gani
Mimi nakupa shotkat mkuuHapo ndo umenjuza au unaleta utani arrif!?
Vigezo vyote ninavyo, na nimerudisha bidhaa within 48 hrs na warranty ni 12 months... Mwenye duka anatumia mabavu hadi wafanyakazi wake wanamshangaa kwa analolifanya "anasema tatizo ni Fulani kwenye kifaa" Ila hatoi msaada wowote wala conclusion kama nasaidiwa au sisaidiwi!...Vigezo na masharti ya warranty ni vipi??
Maana isije ikawa umekiuka masharti ya hiyo warranty...
Kimsingi uhusiano wenu ni wa kimkataba, kwa maelezo hayo uliyonipa waweza fungua kesi ya madai kwa mafanikio tunza ushahidi muhimu...Vigezo vyote ninavyo, na nimerudisha bidhaa within 48 hrs na warranty ni 12 months... Mwenye duka anatumia mabavu hadi wafanyakazi wake wanamshangaa kwa analolifanya "anasema tatizo ni Fulani kwenye kifaa" Ila hatoi msaada wowote wala conclusion kama nasaidiwa au sisaidiwi!...
Alijua wazi kuwa tatizo lingejitokeza ila kulitatua inakula kwake!
... Na Mimi sitaki ile kwangu! Ndo maana nauliza kuhusu sheria ya warranty!
Asante sana!Kimsingi uhusiano wenu ni wa kimkataba, kwa maelezo hayo uliyonipa waweza fungua kesi ya madai kwa mafanikio tunza ushahidi muhimu...
Receipt ni ya mashine au kanjanjaAsante sana!
Ushahidi nilionao ni "riceipt" inayoonesha kiasi nilichonunua + warranty yake! Pia wakati nanunua nilikuwa na wenzangu wawili 2!
Shukran kwa msaada wako!
KanjanjaReceipt ni ya mashine au kanjanja
Sent from my SM-G955F using Tapatalk