Naomba kufahamu namna ya kukokotoa mafao

Moneyowner

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
1,423
1,251
Habari wana jamvi, mara nyingi tunmekuwa tunasaini mikataba imeadika permanent and pensionnable, nomba kujua namna vile wana fanya calculation ya pension, hizi habari za kusikia sikia mara oo yule kapewa M100 mara M150, zinapatikanaje izo
Asanteni
 
Habari wana jamvi, mara nyingi tunmekuwa tunasaini mikataba imeadika permanent and pensionnable, nomba kujua namna vile wana fanya calculation ya pension, hizi habari za kusikia sikia mara oo yule kapewa M100 mara M150, zinapatikanaje izo
Asanteni
ingia kwenye mfuko husika then utaona pension calculator.
 
Back
Top Bottom