Naomba kufahamu kuhusu ku-track simu

Naomba kufahamu kuhusu ku-track simu

Latvia

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2019
Posts
629
Reaction score
4,512
Hope mnaendelea vizuri na majukumu.

Nilisahau simu sehemu kama dakika 5 tu kurudi haipo, naipiga Inaita tu but after 1 hour haiku patikana tena.

Niliripoti Polisi Ili Iweze kuwa tracked maana Ina mambo yangu mengi sana, sijafungua kesi ya wizi maana nilisahau mimi mwenyewe.

Shida Inakuja simu haijaweza kupatikana Inaenda miezi miwili sasa, hata tetesi hakuna.
Majibu ni kuwa bado haijawekwa line or aliyenayo hajaanza Ifanyia matumizi means Ipo offline hadi leo (napata mashaka)

Je, Inawezekana ku track simu kwa kutumia IMEI pekee hata kama simu haijawekwa line yoyote? (Mfano Ipo connected kwa Wi-Fi)
Miezi miwili kweli mtu akae tu na simu bila kuifanyia kitu (napata mashaka)

Naamini aliyenayo either anai connect kwa WiFi or else but sio Ipo offline siku zote.

Simu ni SAMSUNG latest model.

Thanks In advance.

CC: Chief-Mkwawa
 
Imei ni mpaka iwe connected na line mkuu. Labda ujaribu kuitrack na email kama hajaformat simu
Itakuwa ame format tayari maana tulijaribu njia zote hizo lakini sikufanikiwa.

Niseme tu goodbye kwa simu yangu na vile Ipo na VVIP data for me. Najuta why siku zi upload Google drive mapema.
 
Itakuwa ame format tayari maana tulijaribu njia zote hizo lakini sikufanikiwa.

Niseme tu goodbye kwa simu yangu na vile Ipo na VVIP data for me. Najuta why siku zi upload Google drive mapema.
Atajisahau tu siku ataweka line.

Ama mbaya zaidi abadili hardware/Imei
 
Hata samsung now wana hizo features, huwezi kufuta sim mpaka utoe samsung account
 
emoji1696.png
mi mwenyewe nilipoteza A21's yangu na mpaka leo ajaweka lain cjaipat japo bado natrack mpaka leo
Mkuu unatumia njia gani kuitrack na mm niitafute sim yangu
 
Wakuu Kuna app nimeikuta ikanidai niweke IMEI NO ya simu niliyopoteza redm note 9 pro nikaweka baada ya hapo ikasearch na inanidai nilipie dola 10 Ili inilocatie kweny Google map sim ilipo hii imekaaje waungwana ??
 
Wakuu Kuna app nimeikuta ikanidai niweke IMEI NO ya simu niliyopoteza redm note 9 pro nikaweka baada ya hapo ikasearch na inanidai nilipie dola 10 Ili inilocatie kweny Google map sim ilipo hii imekaaje waungwana ??
Imekaa kiupigwaji mkuu , achana nayo fanya mambo mengine nahisi hii huduma ya kutrack simu huwa haipo .
 
Back
Top Bottom