Chatumkali
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,037
- 458
Hata mimi nashangaa! Hili jina mbona la Kisukuma? Hata kama atakuwa anatokea Singida, atakuwa ni Msukuma mhamiaji. Kuna Wasukuma wengi sana Singida waliohamia kwa ajili ya malisho!
Mkuu hakuna kabila lenye haki miliki ya jina.