Maeneo ya Same, Kilimanjaro bei ni kati ya Tsh 700 hadi Tsh 1000 kwa kilo. Hio ya Tsh 1000 ndio ile nzuri zaidi. Maundumula . Mwaka huu bei haija shoot sababu wafanyabiashara kutoka Kenya hawajavamia kule kuichukua
Maeneo ya Same, Kilimanjaro bei ni kati ya Tsh 700 hadi Tsh 1000 kwa kilo. Hio ya Tsh 1000 ndio ile nzuri zaidi. Maundumula . Mwaka huu bei haija shoot sababu wafanyabiashara kutoka Kenya hawajavamia kule kuichukua