Online Pastor
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,948
- 1,515
Wapendwa,
Nimekuwa nikikutana na kanisa hili katika huduma zangu za kiroho na muda mwingi sikulipeleleza sana.
Ila hapo jana nilikutana na muumini wa kanisa hili,japo hakujieleza vizuri na kulipambambanua kanisa lake,ila nilipata mwanga kidogo.
Mwenye kuwajua vizuri hawa jamaa naomba afunguke zaidi.
Nimekuwa nikikutana na kanisa hili katika huduma zangu za kiroho na muda mwingi sikulipeleleza sana.
Ila hapo jana nilikutana na muumini wa kanisa hili,japo hakujieleza vizuri na kulipambambanua kanisa lake,ila nilipata mwanga kidogo.
Mwenye kuwajua vizuri hawa jamaa naomba afunguke zaidi.