babu kavu
Senior Member
- Jul 4, 2022
- 117
- 123
Wadau habari zenu,
Kuna hii Biashara ya kununua na kuuza vifuu ambayo ningependa kuifahamu kuanzia
- Gharama za kununua Kama kwa kilo hununuliwa kiasi gani na kuuza kiasi gani
- Changamoto zake (japo hakuna Biashara inayokosa changamoto ila NI Bora kujua japo kwa uchache)
- Kama Kuna ubora wa vifuu ambavyo wanunuzi huangalia
- Masoko ya kuuzia baada ya kukusanya
AHSANTENI, NATAKA NIICHANGAMKIE HII FURSA MAANA NINAPOISHI UPATIKANAJI WA VIFUU NI RAHISI SANA ILA BIASHARA YAKE SIIFAHAMU KABISA
NI PESA AMBAYO NAIONA INAELEA ELEA
Kuna hii Biashara ya kununua na kuuza vifuu ambayo ningependa kuifahamu kuanzia
- Gharama za kununua Kama kwa kilo hununuliwa kiasi gani na kuuza kiasi gani
- Changamoto zake (japo hakuna Biashara inayokosa changamoto ila NI Bora kujua japo kwa uchache)
- Kama Kuna ubora wa vifuu ambavyo wanunuzi huangalia
- Masoko ya kuuzia baada ya kukusanya
AHSANTENI, NATAKA NIICHANGAMKIE HII FURSA MAANA NINAPOISHI UPATIKANAJI WA VIFUU NI RAHISI SANA ILA BIASHARA YAKE SIIFAHAMU KABISA
NI PESA AMBAYO NAIONA INAELEA ELEA