KASULI
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 599
- 669
Samahani wadau napenda kufaham kuhusu hii huduma ya Waxing.
1. Inatolewaje na utolewa na akina nani?
2. Mfno ukifanya waxing ya kwapa au kule kwa bibi nywele/,vinyweleo uota baada ya muda gani?
3. Tofauti na Saloon unaweza pata wapi material na ni kiasi gani?
4. Madhara yake ni Yapi?
5. Kwa wale mlioko Mwanza Saloon gani ina hizi huduma/ Utolewa wapii.
Naomba kuwasilisha.
1. Inatolewaje na utolewa na akina nani?
2. Mfno ukifanya waxing ya kwapa au kule kwa bibi nywele/,vinyweleo uota baada ya muda gani?
3. Tofauti na Saloon unaweza pata wapi material na ni kiasi gani?
4. Madhara yake ni Yapi?
5. Kwa wale mlioko Mwanza Saloon gani ina hizi huduma/ Utolewa wapii.
Naomba kuwasilisha.