feyzal JF-Expert Member Apr 20, 2016 6,805 12,669 Dec 31, 2020 #1 Wakuu habari ya usiku. Nimeulizia bei ya viti hivi kwenye picha kwa jamaa fulani nimeambiwa ni elfu 35 kwa kila kimoja nimeshtuka kidogo je hii bei ni kweli? Au mwenye kujua anifahamishe tafadhali
Wakuu habari ya usiku. Nimeulizia bei ya viti hivi kwenye picha kwa jamaa fulani nimeambiwa ni elfu 35 kwa kila kimoja nimeshtuka kidogo je hii bei ni kweli? Au mwenye kujua anifahamishe tafadhali
feyzal JF-Expert Member Apr 20, 2016 6,805 12,669 Dec 31, 2020 Thread starter #3 Duh shukrani ila bei nayo si haba. Me too said: Utapigwa asee Ni 27000 Click to expand...
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,678 68,658 Dec 31, 2020 #4 Hongera Sana Mkuu kwa kuchagua vitu vizuri.
feyzal JF-Expert Member Apr 20, 2016 6,805 12,669 Dec 31, 2020 Thread starter #5 Shukrani,,muonekano mzuri ndo kila kitu. King Kong III said: Hongera Sana Mkuu kwa kuchagua vitu vizuri. Click to expand...
Shukrani,,muonekano mzuri ndo kila kitu. King Kong III said: Hongera Sana Mkuu kwa kuchagua vitu vizuri. Click to expand...
mfianchi Platinum Member Jul 1, 2009 11,867 8,276 Dec 31, 2020 #6 feyzal said: Wakuu habari ya usiku. Nimeulizia bei ya viti hivi kwenye picha kwa jamaa fulani nimeambiwa ni elfu 35 kwa kila kimoja nimeshtuka kidogo je hii bei ni kweli? Au mwenye kujua anifahamishe tafadhaliView attachment 1663371 Click to expand... Si uende madukani au umtume nduguyo au rafikiyo
feyzal said: Wakuu habari ya usiku. Nimeulizia bei ya viti hivi kwenye picha kwa jamaa fulani nimeambiwa ni elfu 35 kwa kila kimoja nimeshtuka kidogo je hii bei ni kweli? Au mwenye kujua anifahamishe tafadhaliView attachment 1663371 Click to expand... Si uende madukani au umtume nduguyo au rafikiyo
feyzal JF-Expert Member Apr 20, 2016 6,805 12,669 Dec 31, 2020 Thread starter #7 Mkuu sikua na muda ndo maana nilipiga simu kwa mtu ila nikataka kuthibitisha na pia mitandaoni nilijaribu kutafufa bei bila mafanikio...ila nashukuru kwa mchango wako. mfianchi said: Si uende madukani au umtume nduguyo au rafikiyo Click to expand...
Mkuu sikua na muda ndo maana nilipiga simu kwa mtu ila nikataka kuthibitisha na pia mitandaoni nilijaribu kutafufa bei bila mafanikio...ila nashukuru kwa mchango wako. mfianchi said: Si uende madukani au umtume nduguyo au rafikiyo Click to expand...