Naomba kufahamishwa bei ya viti hivi,mwenye kujua anijuze tafadhali..!

feyzal

JF-Expert Member
Apr 20, 2016
6,742
12,435
Wakuu habari ya usiku.

Nimeulizia bei ya viti hivi kwenye picha kwa jamaa fulani nimeambiwa ni elfu 35 kwa kila kimoja nimeshtuka kidogo je hii bei ni kweli?

Au mwenye kujua anifahamishe tafadhali
tapatalk_1609361298539.jpg
 
Mkuu sikua na muda ndo maana nilipiga simu kwa mtu ila nikataka kuthibitisha na pia mitandaoni nilijaribu kutafufa bei bila mafanikio...ila nashukuru kwa mchango wako.
Si uende madukani au umtume nduguyo au rafikiyo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom