Hivi unapomtongoza msichana,halafu akakuambia atakufikiria..huwa wanaenda kufikiria kweli au huwa wana maana gani?naomba kuelimishwa juu ya hilo,maana chemistry ya hawa viumbe ni ngumu sana kuielewa.
Hivi unapomtongoza msichana,halafu akakuambia atakufikiria..huwa wanaenda kufikiria kweli au huwa wana maana gani?naomba kuelimishwa juu ya hilo,maana chemistry ya hawa viumbe ni ngumu sana kuielewa.
sasa ulitaka akuambie nini? mtu alikuwa hajui kama wewe unampenda na yeye hajafikiria kukupenda so anahitaji muda ili kujiridhisha kama anakuhitaji ama la.
Kwa mtazamo wangu kijana mwenye nia njema hawezi kulipokea jibu la papo kwa papo. Yaani umemwambia leo binti yaliyoujaza moyo wako means wewe ulikaa na jambo hilo for sometime then ukimaliza tu kumwambia binti nae aseme yes lazima utajiuliza kulikoni kwamba je alijua nitamwambia jambo hili???Mara baada ya kumueleza binti yaliyoujaza moyo wako ni vema ukampa muda ili nae atafakari kama kweli yuko tayari kuianza safari hiyo na wewe na pia inampa nafac ya kukuchunguza kama je unamfaa au la.
Au huenda nguo yake ya ndani cku hiyo imechanika.
Hahahahahahahahaha kazi kweli kweli kwa hiyo unasema yes faster sio. Hata hivyo mambo mengi yamebadilika lazima vijana mwende na wakati chelea chelea unakuta mwana si wako. Haya jamani kila kheri.Mwanamke mwingine anakuwa amekupenda yeye kabla sasa amekuonyesha ishara zote kwakuwa ni ngumu kuanza kufunguka......sasa mwanaume ukimtongoza mwanamke wa aina hiyo hawezi kuvunga coz anahofia kukupoteza.