FOX21
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 422
- 772
Habari za jioni ndugu zangu, >straight to the point" majuzi nili mtembelea rafiki yang aliye kuwa anapata matibab kwa mganga wa kienyeji ambapo alikaa ndani ya wiki 2. Na Hali yake nilikuta inaendelea vizur tu ila nikiwa pale Kuna tukio nilishuhudia likanipa mawazo Sana.
Kulikuwa na jamaa anafanyiwa tiba yaani nilishangaa kapewa WEMBE mbili akazitafuna akameza na kunywa soda, baada ya hapo jamaa alipigwa chale mwili mzima Hadi nikamwonea huruma. Ndipo nikachukuwa jukumu la kumuuliza jamaa yang akaniambia ni kinga ya mwili anatengenezwa ila hakuwa na maelezo yoyote zaidi na hayo.
Wakuu naomba kupewa elimu hapa mwenzenu 🤔ni ainagani ya tiba hii aliyopewa Hadi kulishwa viwembe?
#Je hizo wembe zina madhara yoyote kiafya kwa muhusika labda kwa hapo baadae pia zina kazi gani kwenye mwili wa muhusika?
...🙏🙏🙏🙏
Kulikuwa na jamaa anafanyiwa tiba yaani nilishangaa kapewa WEMBE mbili akazitafuna akameza na kunywa soda, baada ya hapo jamaa alipigwa chale mwili mzima Hadi nikamwonea huruma. Ndipo nikachukuwa jukumu la kumuuliza jamaa yang akaniambia ni kinga ya mwili anatengenezwa ila hakuwa na maelezo yoyote zaidi na hayo.
Wakuu naomba kupewa elimu hapa mwenzenu 🤔ni ainagani ya tiba hii aliyopewa Hadi kulishwa viwembe?
#Je hizo wembe zina madhara yoyote kiafya kwa muhusika labda kwa hapo baadae pia zina kazi gani kwenye mwili wa muhusika?
...🙏🙏🙏🙏