Kumekuwa na ufugaji mkubwa wa samaki katika Ziwa Victoria. Kwa takwimu nilizo nazo asilimia 80 ya wananchi wanaozunguka Ziwa Victoria kwa sasa wanatumia samaki hawa wa kufugwa kama chakula chao tofauti na hapo zamani.
Chakula cha samaki hawa kinatengenezwa na ndugu zetu Wachina. Hatujui wanatumia mchanganyko gani katika kutengeneza chakula hiki na sijui kama Serikali ina mkono wake katika kuhakikisha kuwa chakula kinachotengenezwa ni safi na salama.
Nimetonywa na mvuvi mmoja kuwa samaki wasiofugwa bahati mbaya wanapokaribia vizimba hivi hupata harufu mbaya na hukimbia mbali sana mpaka hata kilomita 40 kuepuka harufu hiyo.
Ni vema sasa Serikali(Idara ya Uvuvi) ikatoka na kuhabarisha wananchi wa Kanda ya Ziwa kuhusu usalama wa samaki hawa ikichukuliwa kuwa watengenezaji wa vyakula ni Wachina ambao kwa kiasi kikubwa ni wajajnja sana na shida yao ni faida kubwa. Tuchukue tahadhari tusije tukawa Taifa la mazezeta kutokana na hawa samaki wa kufugwa.
Nawasilisha.
Chakula cha samaki hawa kinatengenezwa na ndugu zetu Wachina. Hatujui wanatumia mchanganyko gani katika kutengeneza chakula hiki na sijui kama Serikali ina mkono wake katika kuhakikisha kuwa chakula kinachotengenezwa ni safi na salama.
Nimetonywa na mvuvi mmoja kuwa samaki wasiofugwa bahati mbaya wanapokaribia vizimba hivi hupata harufu mbaya na hukimbia mbali sana mpaka hata kilomita 40 kuepuka harufu hiyo.
Ni vema sasa Serikali(Idara ya Uvuvi) ikatoka na kuhabarisha wananchi wa Kanda ya Ziwa kuhusu usalama wa samaki hawa ikichukuliwa kuwa watengenezaji wa vyakula ni Wachina ambao kwa kiasi kikubwa ni wajajnja sana na shida yao ni faida kubwa. Tuchukue tahadhari tusije tukawa Taifa la mazezeta kutokana na hawa samaki wa kufugwa.
Nawasilisha.