Naomba kuelimishwa kuhusu maneno haya;******,SHOGA,DINGI,KUTOHOA.

CHAI CHUNGU

JF-Expert Member
Feb 20, 2012
7,113
930
I'm serious here,so pls I don't like any kind of joking!!!!!
Mwenye kujua anieleweshe bcoz my kamusi haina maana hizo ingawa nasikia BAKITA wameyaweka ktk kiswahili sanifu.
 
Kanunue kamusi,but shoga ni marafiki wa kike na dingi ni mzee,kutohoa nadhani ni kupambanisha ingawa pia I'm not sure,
Ngoja waje wataaram wa lugha wakusaidie.
 
Hiyo ****** sijui maana yake kwani siyo neno. Neno shoga laweza kuwa na maana mbili, kwanza ni rafiki (hasa kwa wanawake), pili ni mwanaume mwenye kuingiliwa kinyume na maumbile.
Neno dingi ni msimu (maneno yasiyo rasmi lakini yanatumiwa na kikundi flani cha watu katika maongezi yao). Neno hili hutumiwa hasa na vijana likimaanisha mzazi wa kiume (baba).
Kutahoa ni neno fasaha la kiswahili lenye maana ya kuchukua neno kutoka katika lugha moja na kulitumia kwenye lugha nyingine. Mfano neno shati limetoholewa kutoka neno la kiingereza shirt na linatumika kwenye Kiswahili.
 
Hiyo ****** sijui maana yake kwani siyo neno. Neno shoga laweza kuwa na maana mbili, kwanza ni rafiki (hasa kwa wanawake), pili ni mwanaume mwenye kuingiliwa kinyume na maumbile.
Neno dingi ni msimu (maneno yasiyo rasmi lakini yanatumiwa na kikundi flani cha watu katika maongezi yao). Neno hili hutumiwa hasa na vijana likimaanisha mzazi wa kiume (baba).
Kutahoa ni neno fasaha la kiswahili lenye maana ya kuchukua neno kutoka katika lugha moja na kulitumia kwenye lugha nyingine. Mfano neno shati limetoholewa kutoka neno la kiingereza shirt na linatumika kwenye Kiswahili.
Safi
 
I'm serious here,so pls I don't like any kind of joking!!!!!
Mwenye kujua anieleweshe bcoz my kamusi haina maana hizo ingawa nasikia BAKITA wameyaweka ktk kiswahili sanifu.
Kanunue kamusi,but shoga ni marafiki wa kike na dingi ni mzee,kutohoa nadhani ni kupambanisha ingawa pia I'm not sure,
Ngoja waje wataaram wa lugha wakusaidie.
Hahahaha

Kumbe umeanza kitambo huu mchezo?

Unajiuliza na kujijibu..
 
Back
Top Bottom