Butho Mtenzi
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 331
- 22
ahsaaaanteni majawabu
Last edited:
unaona kama ile mimba sio yako????? duh!! ilee tu bro kitanda hakizai haramu!!
ila kuanza mp 24-28 alafu 30 mimba kuna uwezekano mkubwa ukazaliwa mtoto mwaarabu hapo.
ila tuwasikilize wataalam zaidi!!
Kwema wanaJF.Mwenzenu nmekuwa na tatizo kuhusiana na Mp za wadada na upataji Mimba najua wapo Wadada na wapo Wakaka wenye experience naomba mniambie.Inawezekana Mwanamke kuanza siku zake tar 24 na kumaliza tar 28 halafu tar 30 akakutana na Mwanaume akapata mimba? Just to know!
Penye red pamenifurahisha sana ila ni kweliunaona kama ile mimba sio yako????? duh!! ilee tu bro kitanda hakizai haramu!!
ila kuanza mp 24-28 alafu 30 mimba kuna uwezekano mkubwa ukazaliwa mtoto mwaarabu hapo.
ila tuwasikilize wataalam zaidi!!