jompyain
Member
- Feb 15, 2012
- 29
- 9
Utamkuta mtu anagobana na mwenzake ua anasimulia habari za mgomvi
wake utasikia akisema mie sio mswahili aniachie mambo yake ya mazese ya huko
uswahilini ukimtazama huyo anaetoa maneno hayo mwaeusi wa rangi yeye mpaka roho yake je
uswahili wa mwenzake ni umasikini au ........
wake utasikia akisema mie sio mswahili aniachie mambo yake ya mazese ya huko
uswahilini ukimtazama huyo anaetoa maneno hayo mwaeusi wa rangi yeye mpaka roho yake je
uswahili wa mwenzake ni umasikini au ........