Dongmei
Member
- Oct 10, 2020
- 92
- 86
Screenshot tuone!jamani mwenzenu nimechanganyikiwa kabisaa, siamini macho yangu hii pesa sijui niitumieje
Screenshot tuone!jamani mwenzenu nimechanganyikiwa kabisaa, siamini macho yangu hii pesa sijui niitumieje
Usimfate huyo MkuuTunasubiri Aseme mwingine .. sio wewe.. basi una bahati jukwaa lote hili upate wewe tu
Kumbe hata wakati wa matatizo watu wanacheka acha utani mkuu...jamani mwenzenu nimechanganyikiwa kabisaa, siamini macho yangu hii pesa sijui niitumieje
Endelea kupata......nimepata jamani
Bado kmya mkuu, hamna jipyaKuna yeyote aliepata huko ? Maana wamesha weka tangazo kwenye website
Kwangu hakuna mabadiliko yeyoteKuna yeyote aliepata huko ? Maana wamesha weka tangazo kwenye website
Chuo gani?
Mwenyewe sioni kitu.. Ndo nishakosa hvyo jamaniChuo gani?
Kwaheri kusoma..Mwenyewe sioni kitu.. Ndo nishakosa hvyo jamani
Ndiyo unaanza au Continuing?Mwenyewe sioni kitu.. Ndo nishakosa hvyo jamani
Kwani washa update acc au. Mi mpaka nipate ushahidi wa mtu aliyekosa first batch amepata batch ya piliKwaheri kusoma..
Kulima tu ndo kumebako..
Yaan ujumbe ni uleule kuwa nisubiri.. Nimeliwa kichwa tayari
Punguza pressure MkuuKwaheri kusoma..
Kulima tu ndo kumebako..
Yaan ujumbe ni uleule kuwa nisubiri.. Nimeliwa kichwa tayari
BadoKwani washa update acc au. Mi mpaka nipate ushahidi wa mtu aliyekosa first batch amepata batch ya pili
We jamaa sio burenimepata jamani
Kwan nan kashapata...na kama uKwaheri kusoma..
Kulima tu ndo kumebako..
Yaan ujumbe ni uleule kuwa nisubiri.. Nimeliwa kichwa tayari
Sawa Mkuu, hebu tusubiri basis maana nilidhan washaedit ila kola MTU anasema badoKwan nan kashapata...na kama u
mekosa kwann wakuambie usubir...yan wakupotezee muda..punguza presha
Dogo mbona unazingua bange! Unaambiwa weka screenshot... we umekazana nimechanganyikiwa!! Basi endelea kuchanganyikiwanimepata jamani