Karibu uketi mkuu, tusubiri kesho batch ya piliWakuu nmekuta hii taarfa kwenye account yang naomba nijue maana yake hasa ni nn?View attachment 1625330
Wakuu Hiv Kuna tatzo gan mbona thread za mikopo huwa zinafutika ghafla
Mods wanafuta mkuuWakuu Hiv Kuna tatzo gan mbona thread za mikopo huwa zinafutika ghafla
Hahah!!Wakuu Hiv Kuna tatzo gan mbona thread za mikopo huwa zinafutika ghafla
Hii yenyewe inafutwa muda si mrefuItakuwa jamiiforum ndio wanafuta
Wakuu Hiv Kuna tatzo gan mbona thread za mikopo huwa zinafutika ghafla
Mbona hakuna thread yoyote ile inayohusu mkopo hususan kwa Mwaka huu wa 2020/21 hata Jana niliandika thread kulalamika thread za Mikopo kufutwa bila ya kutolewa sababu but ndani ya dk 30 hiyo thread yangu ikafutwa tatizo sijui Ni niniThread zenye maudhuhi ya aina moja uunganishwa na kuwa uzi mmoja kupunguza marudio marudio ya nyuzi nyingi zenye ujumbe mmoja.
Batch ya 2 ina watu wachache sana almost elf 6 na kitu kwa first yearKaribu uketi mkuu, tusubiri kesho batch ya pili
Ni kuomba tu uwepo kat yao
Una other choice mkuu?Batch ya 2 ina watu wachache sana almost elf 6 na kitu kwa first year
Kabla ya mda wa kazi kuisha yani saa tisa na nusu.Hv kesho HESLB watatangaza mda gani majina ya mikopo..?
Hapana asee,zaid ya ku appeal kama ukikosa kabisaUna other choice mkuu?
Wakubwa..
Kama kwenye account ya mkopo wa HESLB kuna zero kote mana yake umekosa Kabisa au...!?