Qunax
Senior Member
- Oct 16, 2016
- 100
- 127
Kada zote Tanzania mtu anapoongeza elimu na kima cha mshahara pia huongezeka.
Cha kushangaza katika kada ya elimu tu hiko kitu hakipo, tatizo ni nini mbona Walimu wananyanyaswa sana na kufanywa kama tambaa la makamasi?
Hivi walimu si ndio huwa wanatumika kwenye vituo vya kupigia kura mnadhani siku wakishukiwa na Roho mtakatifu atapona mtu? Liangalieni hili kwa jicho la 3.
Cha kushangaza katika kada ya elimu tu hiko kitu hakipo, tatizo ni nini mbona Walimu wananyanyaswa sana na kufanywa kama tambaa la makamasi?
Hivi walimu si ndio huwa wanatumika kwenye vituo vya kupigia kura mnadhani siku wakishukiwa na Roho mtakatifu atapona mtu? Liangalieni hili kwa jicho la 3.