Naomba kueleweshwa kwanini walimu hawaongezewi mishahara?

Qunax

Senior Member
Oct 16, 2016
100
127
Kada zote Tanzania mtu anapoongeza elimu na kima cha mshahara pia huongezeka.
Cha kushangaza katika kada ya elimu tu hiko kitu hakipo, tatizo ni nini mbona Walimu wananyanyaswa sana na kufanywa kama tambaa la makamasi?

Hivi walimu si ndio huwa wanatumika kwenye vituo vya kupigia kura mnadhani siku wakishukiwa na Roho mtakatifu atapona mtu? Liangalieni hili kwa jicho la 3.
 
Kada zote Tanzania mtu anapoongeza elimu na kima cha mshahara pia huongezeka.
Cha kushangaza katika kada ya elimu tu hiko kitu hakipo, tatizo ni nini mbona Walimu wananyanyaswa sana na kufanywa kama tambaa la makamasi?
Hivi walimu si ndio huwa wanatumika kwenye vituo vya kupigia kura mnadhani siku wakishukiwa na Roho mtakatifu atapona mtu? Liangalieni hili kwa jicho la 3.
Na walimu mnalalama mnoo aisee utafikiri Tz wafanyakazi wote walimu kumbe kuna taasisi kibao tu ambao nao mambo yao hayaenda ila humu kila kukicha mwalim.....
 
Walimu wana jinsi ya kupanda madaraja kila baada ya muda fulani hata kama kiwango cha elimu hakijaongezeka.
 
Walimu wana jinsi ya kupanda madaraja kila baada ya muda fulani hata kama kiwango cha elimu hakijaongezeka.
Mkuu naomba kuuliza kwani sekta zingine serikalini hawapandagi madaraja hadi waongeze elimu ndipo waongezwe mshahara?
 
Back
Top Bottom