Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,275
Mpka sasa huwa sielewi kwanini kuna maji chumvi na maji baridi!
Naomba kufahamishwa kwanini kuwe na maji chumvi na maji baridi wakati yote yanatoka ardhini,
Kwanini isingekuwa maji chumvi pekee kwani bahari ndio imechukua % kubwa Duniani? Na ukizingatia maji yanasafiri kutoka sehem moja hadi nyingine kupitia mikondo yake....
Haya maji baridi natamani kujua kwanini yawe yabaridi, yanapatikana maeneo gani!
Nawasilisha
Naomba kufahamishwa kwanini kuwe na maji chumvi na maji baridi wakati yote yanatoka ardhini,
Kwanini isingekuwa maji chumvi pekee kwani bahari ndio imechukua % kubwa Duniani? Na ukizingatia maji yanasafiri kutoka sehem moja hadi nyingine kupitia mikondo yake....
Haya maji baridi natamani kujua kwanini yawe yabaridi, yanapatikana maeneo gani!
Nawasilisha


