Kuna suala naona silielewi kwenye ujenzi wa SGR kila Rais Magufuli anapohutubia hupenda kujipambanua kuwa mradi wa SGR serikali inatumia fedha zake za ndani.
Lakini kwa kusoma sehemu mbalimbali naona kama tunakopa hela toka Mabenki ya nje mfano kipande cha Dar - Moro, kuna hela zimetoka mabenki ya Uturuki na Leo hii nimesoma kuwa Standard Chartered Bank wametoa hela kwa ajili ya kipande cha Moro- Makutupora.
Sasa huo mchanganyiko siuelewagi kabisa
Lakini kwa kusoma sehemu mbalimbali naona kama tunakopa hela toka Mabenki ya nje mfano kipande cha Dar - Moro, kuna hela zimetoka mabenki ya Uturuki na Leo hii nimesoma kuwa Standard Chartered Bank wametoa hela kwa ajili ya kipande cha Moro- Makutupora.
Sasa huo mchanganyiko siuelewagi kabisa