Kichwa cha habari kinajitosheleza....msaada wako tafadhali
Hahaaaa ,,km ata kuigilizia GENTAMYCINE we unaandka GARAMYCIN duu kwel stelles hatariii na nusuAhsante sana Mr Garamycin nitaitafuta
Haya bwana nendaKichwa cha habari kinajitosheleza....msaada wako tafadhali
Ahsante sana.... Bora angalau wewe maana wewe wananiongezea stelles tu
Stela Maris Hotel?Ungejua stelles ni nini, ungejicheka.
Kuna kule kwa masista jina nimesahau nimepajua kupitia sherehe za harusi, pametulia sana na utaweza kusali pia.
Bila shaha unaongelea stella marisUngejua stelles ni nini, ungejicheka.
Kuna kule kwa masista jina nimesahau nimepajua kupitia sherehe za harusi, pametulia sana na utaweza kusali pia.
ungeandika tu kiswahili hilo neno kuwa ukapunguze msongo wa mawazo sasa stelles ndo mnyama gani sasa
Hivi ni za bure kumbe, si aende coco tu mbali kote kwa nini huko.Kasema anataka beach za bure
stella maris nadhan kuna malipo
Gentamycine kwa jina jingine inaitwa Garamycin... Acha kujifanya mjanja kwa vitu usivyovijua mkuu utaaibika! Kama vp twende wote beach maana inaonekana na wewe una stellesHahaaaa ,,km ata kuigilizia GENTAMYCINE we unaandka GARAMYCIN duu kwel stelles hatariii na nusu