Jifunze kuwajibika kama kijanaUnakosea mkuu we ni mtu timamu sana humu
Wewe ni chawa maskini Nimekuambia njoo nikupe kazi ya kukudinyaWe jamaa una shida gani? Huyo unaemwambia hivyo jana tu tumepishana mtazamo ila amekuja na mawazo positively
Hii inaonesha kuwa kweli yeye ni Great thinker na yuko matured
Kupishana mtazamo haifanyi tuwe maadui that's why mpaka leo tunaishi vizuri tu waislamu na wakristo palipo na tatizo tunasaidiana bila kubaguana
Mi sio chawa wa ccm kama unavyodai
Tuko pamoja Mkuu nimekuelewaJifunze kuwajibika kama kijana
Bandari ina warabu huwezi kupata hata kibarua pale
Serikali ilitakiwa iwaangalie vijana mpate mitaji hata ujuzi mjiajiri ila ndo inauwa Kwa maelfu
Ukiambiwa tupinge mambo haya wewe unabaki kupuuza
Chawa afu hana mchongo kudadekiNgoja wasome michango yakoView attachment 3507897
Sawa kijana jiepushe na mbogamboga upate kufanikiwa katika mambo yako maana naona ulikwisha chafua upepo humu ndani.Hautakufa bali utaishi
Zaburi 118:17
Una maanisha akaombe ofisi za sisiemu au sioNgoja wasome michango yakoView attachment 3507897
Hili swali lako inatakiwa ulirudishe kwako likusaidie wewe kujitafakari upya. Make kila mtu unamuuliza "hadi wewe" "hadi wewe"Wapi imetajwa CCM hapo?
Yani hadi wewe wakufanya hivi aisee??
Hata mimi nasimama upande wa haki na nitaendelea kusimama upande wa haki siku zoteHili swali lako inatakiwa ulirudishe kwako likusaidie wewe kujitafakari upya. Make kila mtu unamuuliza "hadi wewe" "hadi wewe"
Yes hadi mimi, nasimama upande wa haki na kama ni muoga basi sitawakatisha tamaa wanaosimamia haki.
Wote unaowauliza hadi wewe unawakera na michango yako nikiwemo mimi.
mpe nafasi bossNilikuwa nimedhamiria kumwajiri lakini Kwa hiki nilichokiona simtaka kwenye kampuni yangu.
Kwanza kijana kama huyu anamchango mdogo sana katika Tanganyika yetu.
Mi nataka dada wa kazi za ndaniHata mimi nasimama upande wa haki na nitaendelea kusimama upande wa haki siku zote
Sehemu ulipoona nimekosea tunaeleweshana palepale na sio kuja kuchafuana hapa ambapo hata hapahusiani na politics
Anyway kama unauhitaji wa kijana hapo kwa ofisi nisaidie mkuu nijishikize
Tajiri mpe Kazi kijana japo CCM.Ampigie Chalamila atampa Mchongo....Hawa sisiem jau Sana.
Una maanisha akaombe ofisi za sisiemu au sio
Kijana apewe namba ya mwigulu huyu apige simu moja tu.....jtatu aanze kazi asisahau kubeba skafu.
Mkuu mi mwenyewe maji ya shingo hapa halafu unaniita boss, kweli!? 😂mpe nafasi boss