Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 5,973
- 6,606
Habari wanajamii.
Huku mtaani tukijaribu kujiweka karibu nanyi ili kuanzisha mahusiano yanayoweza kupelekea ndoa mnatuona hatuna maana kabisa.
Lakini mnakuja kutafuta marafiki Jf na kwenye mitandao mingine,kwanini msitukubali huku mtaani au mnategemea miujiza kwenye mitandao.
Binafsi nashindwa kuelewa maana natamani kupata mke mwema ila nifahamiane nae mtaani sio mtandaoni,maana hapa inakuwa shida kutambua muonekano wa mrembo husika.
Huku mtaani tukijaribu kujiweka karibu nanyi ili kuanzisha mahusiano yanayoweza kupelekea ndoa mnatuona hatuna maana kabisa.
Lakini mnakuja kutafuta marafiki Jf na kwenye mitandao mingine,kwanini msitukubali huku mtaani au mnategemea miujiza kwenye mitandao.
Binafsi nashindwa kuelewa maana natamani kupata mke mwema ila nifahamiane nae mtaani sio mtandaoni,maana hapa inakuwa shida kutambua muonekano wa mrembo husika.