HORSE POWER
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 2,072
- 1,389
Habari wanaJF,
Ndugu zangu naomba nipate elimu kutoka kwenu kuhusu namna ya kusoma 'Personal Message'.Nikifungua email address yangu, nakuta jamaa au marafiki yangu ananiambia kwamba amenitumia personal message,l akini namna ya kuaccess ili kuisoma inakua tabu kwangu.
Naomba elimu tafadhali, asiyeuliza hana ajifunzalo.
Mungu awabariki.
Ndugu zangu naomba nipate elimu kutoka kwenu kuhusu namna ya kusoma 'Personal Message'.Nikifungua email address yangu, nakuta jamaa au marafiki yangu ananiambia kwamba amenitumia personal message,l akini namna ya kuaccess ili kuisoma inakua tabu kwangu.
Naomba elimu tafadhali, asiyeuliza hana ajifunzalo.
Mungu awabariki.