Msaada juu ya kazi yangu

mr.chengachenga

Senior Member
Mar 6, 2014
125
70
Habari kwenu nyote,

Bila kupoteza muda naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu, naanza kwa utambulisho mfupi ili niweze kusaidika kama ninavyotarajia maana JF kuna wataalam wa kila namna

Mimi ni mwalimu, nimekua kwenye hii kazi kwa muda wa miaka minne sasa, nimekua nikifundisha katika shule mojawapo hapa Dsm(private school).

Sasa nina mipango ya kuhama kutoka kufundisha shule za private za kawaida kwenda shule za kimataifa(international schools), mpaka sasa kitu ninachokijua ni kuwa wanatumia mtaala tofauti na sisi...sina taarifa za kutosha kuhusu hizi shule.

Mambo ninayohitaji kuyafahamu kuhusu hizi shule ni pamoja na
-Sifa za walimub wanaohitajika humo kwenye mifumo yao(nitafurai kama nitaweza pata mtu anayefundisha huko au aliyewai ili ajibu hili swali).

-Aina za madarasa zilivyo (grades) pia ushauri ni wapi naweza anzia.

Elimu niliyonayo ni Diploma in primary teaching education..
Hii niliipata baada ya kufanya Grade IIIA.

Na kama sina vigezo naomba ushauri wa namna bora ya kupata vigezo hivyo(like which steps to be followed).

Nilisikia hua wanatoa nafasi za kujitolea katika hizi shule(sina hakika) lakin kama wanatoa je ni inakua kujitolea kwa 100% au ni kuna namna mtu anaweza kupata japo pesa kidogo kwa ajili ya kujikimu katika kipindi hicho cha kuoata uzoefu?

Sababu za kutaka kuingia katika hizi shule za kimataifa ni pamoja na

-Maslai ya kiuchumi,(kwa sasa bado ni muajiriwa ila salar yangu haijavuka 700k jambo linalonifanya nione kazi mbaya japo nashukuru Mungu maisha yanaenda salama.

-Kutanua uelewa binafsi wa yanayoendelea duniani.

-Kukuza network/kujuana na watu zaid(watu wa faida)

NB: Tusaidiane kama unaufahamu wa haya mambo,,,wa tz tusiishie kulalamika wagen wanatuzidi,tupeane connection hizo.Mungu awabariki
 
Kasomee digrii kwanza,
Sidhani watakukubali na diploma, wakati wako wengi wenye digrii siku hizi ..

Na huu ndio uhalisia hapo chini kuhusu nafasi za kazi Feza International School



Primary Teachers​

Job vacancy​

sand_dotdivider.png


Reference code: TSOSJ/HR/ACDM/GN/01/20
Are you passionate about providing students with quality education? Are you dedicated to making a difference in your teaching career by inspiring students? Does it sound like we are talking about you? Keep reading!

WHO YOU ARE​

  • A highly-motivated teacher with excellent attention to detail, who loves working with students and can facilitate a holistic learning curriculum.
  • You are able to develop, monitor and evaluate lesson plans, schemes of work, lesson notes and examinations.
  • You understand the importance of ECA’s (Extra Curricular Activities) and can inspire and mentor students to participate.
  • A responsible and hard-working person who enjoys taking on extra duties such as being on duty, leading assembly, guiding projects and being a member of various school committees.
  • You strive for academic and moral excellence and encourage students to aim high and achieve.

WHAT WE’RE LOOKING FOR​

  • Bachelor Degree in Education or with Education from an Accredited University in Tanzania.
  • Three to four years of experience in teaching with an outstanding performance.
  • Strong ability to deliver NECTA curriculum content using modern teaching methods and strategies that support competency-based approach to learning and assessments.
  • Excellent written and verbal communication skills in English as a medium of instruction.
  • A well-rounded, independent and mature individual with a diverse knowledge in Education and one that observes teaching ethics and demonstrates a refreshing approach to teaching.
  • A teacher with a vibrant, diligent and motivating personality for our students.
 
Kasomee digrii kwanza,
Sidhani watakukubali na diploma, wakati wako wengi wenye digrii siku hizi ..

Na huu ndio uhalisia hapo chini kuhusu nafasi za kazi Feza International School


Primary Teachers​

Job vacancy​

sand_dotdivider.png


Reference code: TSOSJ/HR/ACDM/GN/01/20
Are you passionate about providing students with quality education? Are you dedicated to making a difference in your teaching career by inspiring students? Does it sound like we are talking about you? Keep reading!

WHO YOU ARE​

  • A highly-motivated teacher with excellent attention to detail, who loves working with students and can facilitate a holistic learning curriculum.
  • You are able to develop, monitor and evaluate lesson plans, schemes of work, lesson notes and examinations.
  • You understand the importance of ECA’s (Extra Curricular Activities) and can inspire and mentor students to participate.
  • A responsible and hard-working person who enjoys taking on extra duties such as being on duty, leading assembly, guiding projects and being a member of various school committees.
  • You strive for academic and moral excellence and encourage students to aim high and achieve.

WHAT WE’RE LOOKING FOR​

  • Bachelor Degree in Education or with Education from an Accredited University in Tanzania.
  • Three to four years of experience in teaching with an outstanding performance.
  • Strong ability to deliver NECTA curriculum content using modern teaching methods and strategies that support competency-based approach to learning and assessments.
  • Excellent written and verbal communication skills in English as a medium of instruction.
  • A well-rounded, independent and mature individual with a diverse knowledge in Education and one that observes teaching ethics and demonstrates a refreshing approach to teaching.
  • A teacher with a vibrant, diligent and motivating personality for our students.
Asante sana kwa ushauri wako na msaada pia.
Hapa mimi ninalenga shule zisizo chini ya NECTA.....
Shule kama Tanganyika international....
Pia suala la kuongeza elimu ndio nalifikiria kulifanya ila nataka kupata steps sahihi kabla ya kufanya maamuzi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom