Naomba elimu juu ya hiki kifaa cha jeshi

Naomba elimu juu ya hiki kifaa cha jeshi

The Dictator

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
4,347
Reaction score
11,849
Naomba kujua wajuzi mnijuze haya madude yanaitwaje na yanafanya vipi kazi. Ni manual au automat?

Je, kwa nchi yetu tunayo? Ni mangapi yako wapi.

Elimu haina kikomo


 
SIO MTAALAMI SANA WA MAMBO HAYA ILA NAHISI NI MFUMO WA KUJILINDA DHIDI YA MAKOMBORA AU NDEGE ZA ADUI...

UNATUMIKA SANA KWENYE MELI ZA KIVITA NA NDEGE ZA KIVITA PAMOJA NA MAJENGO MUHIMU MNO YA KISERIKALI
 
SIO MTAALAMI SANA WA MAMBO HAYA ILA NAHISI NI MFUMO WA KUJILINDA DHIDI YA MAKOMBORA AU NDEGE ZA ADUI...

UNATUMIKA SANA KWENYE MELI ZA KIVITA NA NDEGE ZA KIVITA PAMOJA NA MAJENGO MUHIMU MNO YA KISERIKALI
Unajiendesha wenyewe au kwa msaada wa binadamu?
 
Hizi nadhani ni Surface to Air Missiles (SAM). Mimi sio mtaalam so naweza kuwa siko sahihi kivile. Tunazo ngapi, jibu lipo Ngome. Unaweza kuwatembelea kwa majibu zaidi
 
Kama si haramu raia kutembelea kwa nia ya kujifunza nitajitahidi kutembelea maeneo hayo.
Jipange mkuu,yaani umeshiba ugali wako na maji mengi vuuuuuuu huyo mpaka getini unaanza kuwauliza hiki ni nini na tunazo ngapi?
Mambo mengine ungeanza mdogo mdogo nenda polisi posti waulize mna bunduki ngapi na bastola ngapi bila kusahau uwasisitize wakupe na idadi ya risasi kabisa halafu utuletee mrejesho kwanza kabla ya kurukia mambo ya anga.
 
Counter rocket, artillery, and mortar, abbreviated C-RAM or counter-RAM, is a set of systems used to detect and/or destroy incoming rockets, artillery, and mortar rounds in the air before they hit their ground targets, or simply provide early warning.
 
Mkuu nenda pale lugalo ingia ndani nenda kwa mkuu wa kambi muulize haya maswali utapata majibu murua!
hasa hili swali la ; 'ni mangapi na yapo wapi' utapewa hadi gari la jeshi likupeleke ukaone.
 
Unajiendesha wenyewe au kwa msaada wa binadamu?
zina kuwa programmed ,zinajiendesha zenyewe.ziki sense Kombora inacalculate umbali liliopo,speed yake na kisha linatoa kombola kulialibu kombora la adui
 
Back
Top Bottom