Ingia YouTube mkuu, then uliza hilo swali utajibiwa kwa kuona kabisa zipo hata videos za kiswahili wanaelekeza chap dakika 5 tu account unatengeneza.Ndugu Wana JF naomba kwa yeyote anaefahamu namna ya kufungua account ya YouTube na kuappload content kwenye mtandao huo..[emoji120][emoji120]