Naomba elimishwa juu ya tochi za trafic

Naomba elimishwa juu ya tochi za trafic

Ahahaha tochi ile ni inasoma speed ya gar linalokuja kwa mbele tu kaka. Ushaliwa tyr

Waongo hao tochi ile inasoma speed kwa mbele tu kaka

Ingekua wanapima kwa upande wanyuma basi speed ingesoma zero, maana jinsi tochi yenyewe inavyofanya kazi ni ngumu sana kupima speed kwa upande wanyuma.

Trafki akikupiga tochi kile kifaa kinatoa frequency kubwa sana kuelekea kwenye gari lako, kwahiyo wewe unapoongeza speed unakua unazirudisha zile frequency upande wa trafki.... Yaani zinagonga kwenye gari lako nakurudi kwa trafki, kwahiyo kwajinsi utakavyopunguza speed/kuongeza ndivyo kile kifaa kitakavyosoma speed yako kulingana na zile freequency zinabounce vipi.

Sasa kama trafki atakupiga tochi kwanyuma mana yake speed itakua inapungua kwasabu wewe unazikimbia zile frequency haziwezi kurudi tena kwa trafki kwa kasi kubwa.
Kwahiyo trafki akikupiga tochi kwa nyuma kile kifaa kitasoma speed ndogo kama utakimbiza gari kwa kasi, na kitasoma speed kubwa kama utaendesha taratibu.

Kwa waliosoma PCM/PCB/PGM advance watakua wamenipata vizuri nazungumzia doppler effect.

snipa

dah!walikuwa wanahitaji hela ya supu hao then wakati mwingine hizo tochi ni mbovu.,nishawahi kufanya huo utafiti.

Kwa maana nyingine kitasoma negative speed(Kitu ambacho sijui kama kitawezekana)

Wacheni porojo, "speed gun"au "radar gun" inaweza kusoma speed yako hata kwa nyuma. Na sasa zipo aina mpya ambazo hutumia teknolojia ya "laser pulse" "LIDAR".

Soma zaidi: Radar gun - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Walete tu aina zozote. Hapa dawa ni kutembea usiku tu bhaasi. Hapo unatoka spidi unayotaka. Jamani matatizo ni barabara.
 
Wacheni porojo, "speed gun"au "radar gun" inaweza kusoma speed yako hata kwa nyuma. Na sasa zipo aina mpya ambazo hutumia teknolojia ya "laser pulse" "LIDAR".

Soma zaidi: Radar gun - Wikipedia, the free encyclopedia

Weweeeeee. We ndo uache porojo asa ngoj nkupe elim fupi kuhi izo tochi. Iyo inachofanya ina2mia formula ya speed mbayo ni distance times time. Kwahiyo icho kifaa kiaangaliwa kwa mda uliowekewa labda kina sense ndani ya sec 30 inaanglai ndani ya 30sec ime2mia distance gani? Ndo inapat speed yako. Asa gari linaend mbele itawezaj?
 
Wandugu naomba kujua aina ya speed gun (Tochi) wanazotumia hawa traffic wetu
 
Weweeeeee. We ndo uache porojo asa ngoj nkupe elim fupi kuhi izo tochi. Iyo inachofanya ina2mia formula ya speed mbayo ni distance times time. Kwahiyo icho kifaa kiaangaliwa kwa mda uliowekewa labda kina sense ndani ya sec 30 inaanglai ndani ya 30sec ime2mia distance gani? Ndo inapat speed yako. Asa gari linaend mbele itawezaj?
Unatumia physics ya form 6 tena UP ya miaka ya 1960, technology inabadilika soma kijana. Reference ni 0 km/hr, akikupiga kwa mbele speed inasoma + kwa nyuma -. Rejea relative velocity topic
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom