Nmeangalia google lkn bado inaniwia vgm nafikaje. mpk uwe mwenyeji au uwe na usafiri wako mwenyew nd utaweza kutumia google map. Kwan google map inakuelekeza mpk daladala gani upande ?? Kua na akili alaf uache kuropokaHuo muda una post ungejua matumizi ya kifaa chako hicho ungeshafika
Nipande gar za mawasiliano nishuke wap sasa hujasema mkuu.Oanda gari za mawasiliano,shuka panda gari za chuo kikuu shukia utawala,chukua bodaboda
Shuka mawasiliano au kona ya kwenda chuo kikuuNipande gar za mawasiliano nishuke wap sasa hujasema mkuu.
Sawa.Shuka mawasiliano au kona ya kwenda chuo kikuu
Nakupenda mpnzNmeangalia google lkn bado inaniwia vgm nafikaje. mpk uwe mwenyeji au uwe na usafiri wako mwenyew nd utaweza kutumia google map. Kwan google map inakuelekeza mpk daladala gani upande ?? Kua na akili alaf uache kuropoka
Hawaoneshi lakini ukitafuta wasafirishaji jamii ya uber watakufikisha pia.Nmeangalia google lkn bado inaniwia vgm nafikaje. mpk uwe mwenyeji au uwe na usafiri wako mwenyew nd utaweza kutumia google map. Kwan google map inakuelekeza mpk daladala gani upande ?? Kua na akili alaf uache kuropoka
ThanksPanda gari za mawasiliano shuka njiapanda ya chuo kikuu panda bajaji zinaenda moja kwa moja changanyikeni
Dogo ushachanganyikiwa tayari baada ya shemeji yako kukutimua na dada yako kukataa kukukingia kifua. Hamna namna nenda tu kwa kaka yako uswaz kishingo upande.Wakuu habar za majukumu?!
Naombeni msaada wa direction, nipo Buguruni naitaji kufika sehem inaitwa Changanyikeni, Headquarter za Heritage Drinking Water ltd.
Naomba kuwakilisha.
Mashemeji sio watu wazuriDogo ushachanganyikiwa baada ya shemeji yako kukutuimua na dada yako kukataa kukukingia kifua. Hamna namna benda tu kwa kaka yako uswaz kishingo upande.
Hahaha. Dah sasa hapo unapiga picha kwa kaka Uswaz utaweza?Mashemeji sio watu wazuri
Nmeangalia google lkn bado inaniwia vgm nafikaje. mpk uwe mwenyeji au uwe na usafiri wako mwenyew nd utaweza kutumia google map. Kwan google map inakuelekeza mpk daladala gani upande ?? Kua na akili alaf uache kuropoka
Watu kama nyinyi lazima muwepo kila sehemu.Kwani hapo ulipo simama hakuna watu ambao unaweza kuwauliza? Mwenyeji wako huko ajakupa maelekezo?
Watu kama nyinyi lazima muwepo kila sehemu.
Mimi simuelekezi mtu wakati wa usiku, tuonane kesho asubuhi na nitakuwa tayari kukupeleka.Wakuu habar za majukumu?!
Naombeni msaada wa direction, nipo Buguruni naitaji kufika sehem inaitwa Changanyikeni, Headquarter za Heritage Drinking Water ltd.
Naomba kuwakilisha.