Naomba buku moja

Naomba buku moja

greater G

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2016
Posts
308
Reaction score
218
Aisee wana jamvi,habari zenu za wk end? Bila shaka Wk end hii inakwenda vzr.

Kama kichwa cha habari kijielezavyo hapo juu wakui nina demu niliyehudumu nae miaka mitatu hivi tukipeana mautamu.

Mwanamke huyu kwa sasa ambae ki ukweli nikikutana nae au akipita mzigoni kwangu maombi yake makubwa ni " naomba buku" nikanunue mara hiki mara kile.

Pamoja na jitihada zangu za kumtoa nje ya mstari kila aniombapo pesa hizo bado ananiandama huku ukizingatia amemvuta bwana wake nyumbani kwake na wanaishi pamoja.

Au ndio kusema vyuma vimekaza?
 
Mpe tuu kwani buku hela? unabahati uko na mwanamke 3yrs na anataka buku tuu wala sio zaidi na una lalamika,hata akiwa na mwengine umeridhika kuchangia na mwenzio kwa hiyo mpe tuu mkuu usiwe bakhili..
 
Mpe tuu kwani buku hela? unabahati uko na mwanamke 3yrs na anataka buku tuu wala sio zaidi na una lalamika,hata akiwa na mwengine umeridhika kuchangia na mwenzio kwa hiyo mpe tuu mkuu usiwe bakhili..
Huyu qatakuwa bahili ile mbaya
 
Acha kuchangia tafuta wako umhudumie kila hitaji linalostahiki kwa mwanamke
 
Sijui nimshangae anaeomba buku au wewe ulieanzisha thread kuombwa buku!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom