Naomba buku moja

Naomba buku moja

Buku huwa naombwa na mateja, sometimes nawapa sometimes nawapotezea.
Gf au mchepuko kuniomba buku?! Sijswahi kutoka na mtu wa aina hio.
Ushauri:jiweke standard fulani hata ukiwa na shida ya 1000 omba 10,000....
sasa huyo mwenzio kaombwa buku kaumia mpaka kaanzisha thread akiombwa 10000 si tutamzika kwa pressure. zamani wanaume walikuwa na vifua ila sikuhizi imekua kinyume
 
wanawake wanacheza ili michezo ya kutunziana pesa kila siku buku so ww ndio umewekwa kama mtoaji
 
Hivi mkuu una pesa ya kuweka bundle ukapost huu uzi ila buku la kumpa mtu anayekukarimu kwa penzi hauna au ni mkono wa birika?
 
Kama we unaombwa buku na buzi mwenzio aombwa kiasi gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom