Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
- Thread starter
- #141
Mi ndio maana sikupendagi hivyo hivyo Mamndenyi, badala ya kunuhurumia wewe unataka kuanza kunicheka???
Last edited by a moderator:
Mi ndio maana sikupendagi hivyo hivyo Mamndenyi, badala ya kunuhurumia wewe unataka kuanza kunicheka???
Anasema mke anambaka...hii mpya ya 2013
Ahsante wewe mwerevu. Tuache na ujinga wetu
FirstLady1, mpaka wife aniBake ndio zoezi lifanyike
😀😀😀Mimi ni rijali, nina mke na watoto kadhaa. Tatizo linalonikabili ni kuogopa kufanya mapenzi. Yaani wakati mwingine inabidi waifu awe kama ana nibaka. Mkonga unasimama freshi kabisa, lakini ile kuingiza ndio ninachokiogopa mwenzenu. Mademu kibao nje ya ndoa yangu wananitani, lakini nawakimbia. Naomba ushauri wenu.
Nimekutana na hii kitu mtanaoni, wala haina uhusiano wowote na bujibuji