Tatizo lako siyo kifo... Tatizo lako ni unaogopa kufukiwa na kifusi... wala usijali.. siku ya kifo chako wala hata hutojua kama umeshakufa...
Utajuaje kama maombi yako yamekubaliwa?Habari wana JF,
Mimi naogopa kifo sana,maana ukijiangalia ki sawa sawa huwezi amini kama siku moja utazikwa na kulaliwa na kifusi cha udongo.
Kwa kweli najuta sijui kwanini nilizaliwa? Nawakati unajua kuwa nitafariki na kuzikwa?
Eeee Mungu mimi naomba nisife! Nakuomba sana Mungu uniepushe na hili.
Mimi naendelea kuomba, Leo nimejifungia siku ya tatu ndani ya chumba changu naomba kufa na kupona, sili chakula wala nini namlilia Mungu mpaka nikwepe kifo.
Jamani epukeni dhambi tuungane pamoja.
Siku njema.
Near to death experienceNear death signs
Hii inaitwa kujutia....lazima kuna dhambi umetenda.....
Najua baada ya siku 4 tuu utasahau kila kitu.....ila jaribu kuwa na hofu ya Mungu wala huyaogopa tena....
Soma zaburi 23...
Kumbe kuna kifo cha mwili na cha roho..shindeni kifo ndugu zangu! Leo hii nawashauri lakini mnanikebehi. asiyejua kifo wacha achungulie kaburi. ndugu yangu amini hakika hata ukifa utaishi milele daima.
kumbe shetani bado kashikilia watu wengi. jikomboe ndugu yangu, shinda kifo cha mwili ili uishi peponi kwa amani. Mimi sitakufa katu. ntashinda tu ili mradi nimeshaamini. kazi kubwa in kuamini basis.Kumbe kuna kifo cha mwili na cha roho..... Sasa we unachokiogopa ni kipi??
Chunga sana unapofungua kinywa na kuongea mambo kama haya, mdomo huwa unaumba rafiki, umekata tamaa, kuna jambo linakusumbua nafikiri, jichanganye na watu usikae peke yako.Habari wana JF,
Mimi naogopa kifo sana,maana ukijiangalia ki sawa sawa huwezi amini kama siku moja utazikwa na kulaliwa na kifusi cha udongo.
Kwa kweli najuta sijui kwanini nilizaliwa? Nawakati unajua kuwa nitafariki na kuzikwa?
Eeee Mungu mimi naomba nisife! Nakuomba sana Mungu uniepushe na hili.
Mimi naendelea kuomba, Leo nimejifungia siku ya tatu ndani ya chumba changu naomba kufa na kupona, sili chakula wala nini namlilia Mungu mpaka nikwepe kifo.
Jamani epukeni dhambi tuungane pamoja.
Siku njema.
Mtazamo mzuri kwa wasioamini uwepo wa MunguUsimuombe Mungu,maana hayupo!
Na usiogope kifo,maana ukifa leo hicho kitakuwa kifo chako cha pili
Hakuna maisha baada ya kifo
Hali itakayokukuta baada ya kifo chako,ndio hali hiyo hiyo uliyokuwa nayo kabla hujazaliwa
Kifo ndio mwisho wa mchezo.Lakini kama unataka kujifariji tu na huna moyo mgumu wa kukikabili kifo
Buni story yoyote,kisha iamini
Mfano,"Nikifa nitapokelewa na st.peter,
Kisha atanisindikiza mbinguni,nitamuona Bwana wangu Yesu."
Ni hivyo
mwogope Mungu shetani kumbe ashatawala watu wengi e Mungu tusaidieUsimuombe Mungu,maana hayupo!
Na usiogope kifo,maana ukifa leo hicho kitakuwa kifo chako cha pili
Hakuna maisha baada ya kifo
Hali itakayokukuta baada ya kifo chako,ndio hali hiyo hiyo uliyokuwa nayo kabla hujazaliwa
Kifo ndio mwisho wa mchezo.Lakini kama unataka kujifariji tu na huna moyo mgumu wa kukikabili kifo
Buni story yoyote,kisha iamini
Mfano,"Nikifa nitapokelewa na st.peter,
Kisha atanisindikiza mbinguni,nitamuona Bwana wangu Yesu."
Ni hivyo
Religion is just a feeling good therapyMtazamo mzuri kwa wasioamini uwepo wa Mungu