Kuna kaka nilitokea kumpenda sana ila nilishindwa kumwambia.
Kadiri siku zilivyoenda nilishindwa kujizuia nilimwambia ninavompenda, alichonijibu atanipa jibu japo hajui ni lini ila atanijibu.
Ila tunawasilian kama watu wa kawaida. je kijana atakua anapenda pia au ananichora?
Kadiri siku zilivyoenda nilishindwa kujizuia nilimwambia ninavompenda, alichonijibu atanipa jibu japo hajui ni lini ila atanijibu.
Ila tunawasilian kama watu wa kawaida. je kijana atakua anapenda pia au ananichora?