Naogopa jibu nitakalopewa

Naogopa jibu nitakalopewa

Hahahaaaa...sipati picha ulivyokuwa unampa mtongozo...aling'ata ng'ata vidole au?
Watu na ujasiri wenu Wallahi....
 
Nimeamini ule usemi usemao, aliyejuu mfate hukohuko usimngoje chini!!

Kama ulivokuwa jasiri kumwambia kuwa unampenda, mfate nwambie unataka jibu lako asikuzingue.
 
Hahahaaaa...sipati picha ulivyokuwa unampa mtongozo...aling'ata ng'ata vidole au?
Watu na ujasiri wenu Wallahi....

Hahahahah......... kwekwekweee .... mambo ya girlz bwn hayooo hahahahah .... Mecheka sana waego
 
Utasubiri mpaka na yeye atoswe uko aliko ndio aje kwako
 
kuna demu nilimtongoza akaniambia nisubiri nikamwambia siwezi kusubiri nijibu hapa hapa ili nikiondoka niifute namba yako au la.........
huko mbele siri yangu

ninong'oneze sitasema
 
Bahari yote hii asiponasa jodari.......atanasa chengu........inahusu.......

hapo ndipo nakupendeaga tatizo we hujui tu unaniumiza au hujui ? au unafanya makusudi
 
hakyanani ngoja niende hindi nikaoge maji yake...!
mbona sijawahi tongozwa mie, ntakuwa na gundu..!
 
Kim nana c kwmb namcheka dada.... m nacheka kung'ata vidole kwa wakaka... hahaha

Ndo usicheke..na wewe zamu yako ikifika utachimba chini hadi soli ya kiatu ichubukeee...
 
Back
Top Bottom