Malilambwiga
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 485
- 296
Wewe si mume bali ni mume gume gume. Huyo mkeo ana malumalu ndiyo maana tunatukanwa malofa na wapumbavu. Karne hii tuliyonayo mwanaume unababaika na mwanamke. Kwangu mimi kata mti panda mti mwingine