Nanyimwa penzi na mke wangu

Nanyimwa penzi na mke wangu

Huyo mkeo hana kazi ya kumpatia hela ya kununua smartphone?
Mtafutie kazi apate akili ya maisha na sio kuwa golikipa hapo nyumbani.
 
Aiseee K unapewa buree... mtoto wa watu umemgeuza dodoki kuutwa haitoshi umemzalishaa,umemgeuza housegirl wako,mkata kiu,mahari kwao ujatoa angalau mzazi aseme nimezaa... Kasimu ka sh ngapi hako wewe konokonoo kimekushinda? mpe yako nalaaabuk wewe....

haya makavu
 
Mungu wangu umeomba hiyo sala kama vile huna ndugu wa kike... sema wakuepushie ndugu zako wa kike wasiwe na tamaaa

unakuta umesuguliwa mpaka pameota sugu utafikili mikundu ya nyani unanua ka i4n 6 wiki moja tu, kamedumbikia kwenye dishi la maji sikilizia maumivu hayo
 
Nimeoa, japo sijafunga ndoa ila niliezaa nae tunaishi wote kwa sasa. Ila gafla tu baada ya muda wa sindano ya mpango wa uzazi kuisha, alitakiwa kwenda kuchoma ingine, ila alikataa kwenda na kuninyima haki yangu kwa madai kuwa mpaka nimnunulie smartphone sasa umepita mwezi tangu anifanyie hivyo.

Naombeni ushauri wakuu. Na anajua kwa sasa sina uwezo wa kumnunulia hiyo simu
Khaa!! Dogo acha michezo ya wakubwa. Nipm nikuelekeze aje kuchukua smart phone mbili :glasses-nerdy:
 
Mungu wangu umeomba hiyo sala kama vile huna ndugu wa kike... sema wakuepushie ndugu zako wa kike wasiwe na tamaaa
Khaa!! Kuna mtu hapa duniani hana tamaa??? Miye nadhani tamaa ndiyo inafanya maisha yetu yabadilike na kuwa mazuri Zaidi :glasses-nerdy:
 
Mke mwenye akili timamu hawezi fanya hvyo nahisi hii itakuwa ni chai!!
 
Teh teh yani kuna watu wanaoa ila wanaakili kamma wavulana. Hata hilo unashindwa kuamua. Kuna uhusiano gani kati ya tendo la ndoa na smart phone? Mkeo kakujua una akil ndogo ndio maana anadirik kukuchezea akili.

Alafu fanya haraka uhalalishe mkuu achakutenda dhambi

Act like a real man....huwez nyimwa penz kwa sabab ya smart fone...labda humridhishi...au kuna mchepuko...


hii signecha yako haina dalili nzuri
 
Umeoa japo hujafunga ndoa.

Kazi kweli kweli mkuu
 
yawezekana akashindwa mkuu...maana kama hadi wamefikia hatua ya kutangaziana mgomo, ujue hali ni mbaya na njia zote zile za kidemokrasia zimeshindikana.
angemuelekeza tu then aanze kuweka deposit ya simu pole pole mbona wote hali mbaya sema tunafanya tu sacrifice
 
hata hivyo mkeo anakupenda sana, nsoa hamna hata smartphone ya laki 2 hamna wewe ni kitu gani sasa uchezewe sebene tuuuu tuuuu acha hizo
 
Kaka huyo mwanamke co.. Anayajua fika maisha yako kua huna kitu ukaibe kisa kumfurahisha yeye? Haya utaiba ili umfurahishe, kesho atakwambia anata smart vorosa utafanyaje? We mwangalie tu.. Kama kumbaka mbake c mkeo? Mwanaume msimamo.. Uckubali kuyumbishwa hata siku1 ikosiku atasema anataka nyota.. Utaiangua angani?
 
Mnunulie kitochi alafu kiandike smart phone. Mpe mwambia haya nipe na mimi.
 
Nunua smartphone acha ubahiri kijana.we unapiga tu hata hujaoa na mahari hujatoa!!! Nunua smartphone sasa hata hiyo ikushinde??!???
 
Back
Top Bottom