Nanyimwa penzi na mke wangu

Nanyimwa penzi na mke wangu

halafu mbaya zaidi, eti ananyimwa haki yake ya msingi ahahahahaa!!! haki ya msingi itoke wapi... hujatoa mahari wala ndoa hakuna, bado unaita haki yako... Peleka FB kule kwa mbulula wenzio, usituchafulie jukwaa...
Mahari kwao hujatoa......halafu hata smartphone hutaki kununua..ufanywe nini. Acheni kupenda vya bure!
 
Umeoa au unafanya uzinzi na kahaba mwenzio??? Malaya lzm umlipe atoi mbuye buree wee fanya mpango wa ulichoambiwa ama vyovyote ujuavyo kumrejesha kahaba mwenzio kwenye mudy.. Soma Isaya 57:3~9
 
Kwanza badilisha hiyo heading, unanyimwa penzi na mkeo au hawara?.
Tuyaache hayo, huyo anakunyima penzi kwa sababu kubwa mbili.
1.Huna hela.
2.Humfikishi (kuwa muwazi).
Ungemnunulia smartphone angekupa mchezo lakin jua hakupendi. Yupo kwa ajili ya kitu na siku yoyote atakutengenezea mtego mwingine zaidi ya huo ili ushindwe akuache. Anayekupenda kweli hawezi kukupa masharti ya kipumbavu kama hayo. Na hii yote sababu ya ulimbukeni. Usingekuwa limbukeni usingeyumbishwa kiasi hicho.

Kitu kingine inaonesha humfikishi kisawasawa. Mwanamke unaempa dushe la uhakika hawezi akaleta ujinga kama huo. Na hapa wanaume wengi wanakwama. Na wanawake kuligundua hilo wameona hamna jinsi itabidi wawachune tu huku anatafuta kidume cha mbegu cha kumtuliza mihemko yake.

Huu msemo wa mapenzi pesa tumeshindwa kuulewa au tunautumia vibaya. Mwanamke anachohitaji kutoka kwako ni zaidi ya pesa. We kuwa na pesa halafu kuwa na kibamia, yaan goli moja tu upo hoi. Halafu angalia kama mwenza wako kama atachepuka au atabaki na wewe.
 
Smartphone niijua mimi inakunyima kipochi manyoya kwa mkeo...?
Usije kuwa uliomba kupita mlango wa dharura (emergence exit door)
yaani kwa Tgo....
Tafdhari fafanua vizuri mleta mada.
 
acha ubahiri nunua simu mwanaume,sasa wewe unataka nani akusaidie? mangi?
mangi atakusaidia vidogovidogo
 
Sasa ushaambiwa umnunulie smart phone ya 100000 tu unataka ushauri wa nini?anakaa wapi me nina duka la simu

Ninyi ndio wale ambao mnawatongoza wanawake kwa kuwaambia kuwa
baba yangu anamiliki duka la smartphone pale kariakoo..hivyo
ukiwa na mimi swala la smartphone litabaki historia tu ....
 
Ninyi ndio wale ambao mnawatongoza wanawake kwa kuwaambia kuwa
baba yangu anamiliki duka la smartphone pale kariakoo..hivyo
ukiwa na mimi swala la smartphone litabaki historia tu ....
sasa mkuu mkeo ushindwe kumnunulia smartphone?wakati mishe za laki 3 ,5 hukosi?
 
Nimeoa, japo sijafunga ndoa ila niliezaa nae tunaishi wote kwa sasa. Ila gafla tu baada ya muda wa sindano ya mpango wa uzazi kuisha, alitakiwa kwenda kuchoma ingine, ila alikataa kwenda na kuninyima haki yangu kwa madai kuwa mpaka nimnunulie smartphone sasa umepita mwezi tangu anifanyie hivyo.

Naombeni ushauri wakuu. Na anajua kwa sasa sina uwezo wa kumnunulia hiyo simu



kwan wewe mkeo anajua kama wewe upo jf? na Id Yako Anaijua?
 
Aaaaaaaaaa kwanini unamfahamufahamu mwenzako bila kufunga ndoa ?? Yesu ruwa sasa visim viko mpaka vya 190,000 ? mchukulie mbili kabisa

Correction, zipo mpaka za 70000/= za voda na tigo promotion!!
 
sasa mkuu mkeo ushindwe kumnunulia smartphone?wakati mishe za laki 3 ,5 hukosi?

yawezekana akashindwa mkuu...maana kama hadi wamefikia hatua ya kutangaziana mgomo, ujue hali ni mbaya na njia zote zile za kidemokrasia zimeshindikana.
 
GIUSEPE, kwamba jamaa amtambuke wife akachome yy sindano teh, teh.........
 
Nimeoa, japo sijafunga ndoa ila niliezaa nae tunaishi wote kwa sasa. Ila gafla tu baada ya muda wa sindano ya mpango wa uzazi kuisha, alitakiwa kwenda kuchoma ingine, ila alikataa kwenda na kuninyima haki yangu kwa madai kuwa mpaka nimnunulie smartphone sasa umepita mwezi tangu anifanyie hivyo.

Naombeni ushauri wakuu. Na anajua kwa sasa sina uwezo wa kumnunulia hiyo simu

Mkuu huyu mke/mchumba hii tabia ni mpya au tangu zamani ya nipe nikupe? manake mie nahisi nikama vile anakuuziaaa,
Jengine jaribu sana kutafakari kwenye kuchagua mwanamke /mwanamme atakae kua mzazi mwenzio kwani yeye ndio atakua mlezi wawatoto wako sasa kama Mama akiwa na tabia ya sikupi nanihii mpaka unipe hiki au kile inakua tabu,na inavyonyesha mkuu kwa Wife hujiwezi mwezi mzima Mkuu? au ulikua una nyumba ndogo baada ya hiyo ulokua nayo sasa?
 
Nimeoa, japo sijafunga ndoa ila niliezaa nae tunaishi wote kwa sasa. Ila gafla tu baada ya muda wa sindano ya mpango wa uzazi kuisha, alitakiwa kwenda kuchoma ingine, ila alikataa kwenda na kuninyima haki yangu kwa madai kuwa mpaka nimnunulie smartphone sasa umepita mwezi tangu anifanyie hivyo.

Naombeni ushauri wakuu. Na anajua kwa sasa sina uwezo wa kumnunulia hiyo simu
Wewe ni mngese sana, akili yako fupi sana, sasa tukusaidie nini? Jisach kanunue
Smartphone acha umaku
 
Back
Top Bottom