Nanyimwa penzi mpaka nikatoe mahari

Nanyimwa penzi mpaka nikatoe mahari

Hahahaha kabisa hajamuchezea vizuri huyo mwanamke

Ajaribu kutembelea kila kona, shavu, kuta za papuchi

Mwenyewe ataomba dushe na atalichomeka kunako bila shurti

Yaani unyonye shingo,nywele,kwapa,denda ihusike kuliko tukuka

Aaah lazima aombe dushe

Napita tu
Mh! ntanyonya vyote ila kwapa
 
hahaha kweli jf inaniongezea siku za kuishi...nimecheka sana hakika duniani kuna watu wanachekesha...bro pole sana....yaani kama mahari utalipa ujue umeitoa sadaka....unaweza ukalipa mahari na kwenye ndoa mgomo ukaendelea vivyo vivyo na mbunye usipewe....utachezea vipepsi na mzungu wa nne na itakuw too late....cha muhimu we this time try to chill and reminisce tatizo liko wapi mpaka akubanie!? lazima kuna tatizo sehemu fulani si bure....hebu jaribu kufanya kama unamtema ie kumuacha uone kama hataachia
 
QUOTE="T 1990 ELY, post: 16571719, member: 245179"]Hahahaha kabisa hajamuchezea vizuri huyo mwanamke

Ajaribu kutembelea kila kona, shavu, kuta za papuchi

Mwenyewe ataomba dushe na atalichomeka kunako bila shurti

Yaani unyonye shingo,nywele,kwapa,denda ihusike kuliko tukuka

Aaah lazima aombe dushe

Napita tu
mkuu acha kunichekesha kunyonya kwapa????[/QUOTE]
Ndiyo Mkuu Econometrician

Kunyonya kwapa ya mwanamke unayempenda raha sana kwa kweli
 
marahaba mkuu.
Hawa wanawake ni pasua kichwa, usikute hapo ana kalai ss anaona akimpa jamaa atasepa km wengine walivyofanya. Bikira hana kubana abane duh!
Ila hawa viumbe ni waajabu sana, anaweza akakuruhusu ukamtomasa mpaka ww ukajiambie leo mtoto anatoa mzigo, ukitaka kuchomeka tu anakuuliza unataka kufanya nn?
Hapa huwaga nachoka kbsa
Hahahaha

Unamjibu nataka kukupima oli kama ni chafu au safi au kama inafaa kwa matumizi ya mwendo kasi
 
mimi nakelwa na kauli ya bado najipanga!!!!! Mtu kakwambia ulipe mahal hajataka ndoa sa unajiangaje?? kwan we nguo kabatini??? mwanaume wa ivo akisha weka dudu sahau na utabakia unaambiw kila ck najipanga!!!!

Mkuu naona umeongea kwa hisia mwanana..lolz
 
habari wana jamii,

naombeni ushauri wenu kuna mdada nimempenda sana nilimuomba awe mke wangu siku za usoni bas akanikubalia ila ailiweka sharti moja kuwa tuwe wapenzi wa kawaida bila kuhusisha mambo ya mapenzi mpaka pale nitakapokuwa mume halali kwake, nikamkubalia nikijua siku za mwanzoni ni hofu kuna siku atalegeza msimamo kama kawaida yao. ni mwaka sasa kiukweli sijapewa pamoja na kuomba sana. huwa anakuja nyumbani tunalala tunachezeana ila nikitaka kuzamisha tu napigwa stop kuwa muda hujafika....anachotaka yy mm nikajitambulisha namwambia bado tunajipanga ila tunaweza kuendelea ila hataki,,,tumeshatambulishana kwa ndugu wote jamaa na marafiki ila ndio hivyo sipewi nifanyaje na mm nina hamu nae, ananilinda sana nisichepuke akipiga simu sijapokea dakika mbili yupo home kwangu......hata kuchepuka siwezi nina muda mrefu sana sijapiga mambo. ni kwamba haniamini ama inakuaje hapa

Mkuu unajipanga na kitu gani?? Kwa maoni yangu, kama kweli lengo lako ni kuoa na sio kugegeda tu then uchape lapa basi nakushauri umuoe huyo msichana...she will potentially make a good wife.
 
Endelea kuamini huo wimbo!,stuka jembe lazima Kuna mtu anamkojoza chobingo...
 
habari wana jamii,

naombeni ushauri wenu kuna mdada nimempenda sana nilimuomba awe mke wangu siku za usoni bas akanikubalia ila ailiweka sharti moja kuwa tuwe wapenzi wa kawaida bila kuhusisha mambo ya mapenzi mpaka pale nitakapokuwa mume halali kwake, nikamkubalia nikijua siku za mwanzoni ni hofu kuna siku atalegeza msimamo kama kawaida yao. ni mwaka sasa kiukweli sijapewa pamoja na kuomba sana. huwa anakuja nyumbani tunalala tunachezeana ila nikitaka kuzamisha tu napigwa stop kuwa muda hujafika....anachotaka yy mm nikajitambulisha namwambia bado tunajipanga ila tunaweza kuendelea ila hataki,,,tumeshatambulishana kwa ndugu wote jamaa na marafiki ila ndio hivyo sipewi nifanyaje na mm nina hamu nae, ananilinda sana nisichepuke akipiga simu sijapokea dakika mbili yupo home kwangu......hata kuchepuka siwezi nina muda mrefu sana sijapiga mambo. ni kwamba haniamini ama inakuaje hapa
Wewe unanyimwa wenzio wanagonga mzigo,keshakuona zoba kwa pupa zako,mwambie no mzigo no ndoa asepe zake,utakaa unasubiri siku ya siku unakuta ni she male.
 
Yaani we utumie halafu usepe peleka mahari fuata kanuni za ndoa use unapiga hata kuomba.
 
Kuna watu wanafiki sana humu duniani,(Baadhi). Hivi huwa mnadhani kila mtu ni mlevi Wa ngono????
Kuna watu wanaojiheshimu na kufuata utaratibu, "eti ukiona hivyo ujue anakojoleshwa kwingine"
Nyie watu nyieeeeeeeeeeee!!!!!!!!
How sure r u?????
Kijana Wa huu Uzi, fuata utaratibu, ukishindwa bas achana nae utafute mwenzio mwenye hamu mnaeelekeana.
 
Muanzisha uzi atujibu je huyo mwanamke kamuuliza kama ni bikra au la?
 
Mkuu unajipanga na kitu gani?? Kwa maoni yangu, kama kweli lengo lako ni kuoa na sio kugegeda tu then uchape lapa basi nakushauri umuoe huyo msichana...she will potentially make a good wife.
Mm pia mke wangu aliniambia hivyo, nikamchukulia Poa, nimekuja kupata habari zake. Na kupewa pongez kumpata, wanawake wa aina hiyo ni bahati sana kuwapata... Nimefuata ushauri wake, akija wala simwambii Mambo ya mapenzi. Namwoa mwaka huu..ameona dalili mpaka sasa za ndoa.
 
Pengine alishapitia ahadi kama uliyompa na akaishia kugegedwa tu nakuachwa, hivyo hataki itokee tena amechoka na mapenzi yasiyo na muelekeo anataka kuolewa huyo,
 
Back
Top Bottom